Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
Erotica hata mimi nadhani huhitaji kuongeza chochote katika hivyo ulivyovitaja labda hair extensions.
Watoto bwana utawajua tu huwa wanadandia mambo ya wakubwa, na hawaishi vituko, pole sana kwa kujikataa. Lakini utapata mafeki tu lakini ukijikubali Mungu anakupa wa kwako. Yaani hayo unayoyafanya ni sawa na kumwambia Mungu aliyekuumba hana akili na hajui ila wewe unajua kuliko yeye na unamsahihisha. Je, unao ubavu huo mtoto?Kitu gani ambacho hukuvutia kwa mwanamke? Kile cha kwanza kabisa.
erotica, meno ya bandia nayo vipi katika kuongeza mvuto wa tabasam mwanana kwa mtoto wa kike?
Watoto bwana utawajua tu huwa wanadandia mambo ya wakubwa, na hawaishi vituko, pole sana kwa kujikataa. Lakini utapata mafeki tu lakini ukijikubali Mungu anakupa wa kwako. Yaani hayo unayoyafanya ni sawa na kumwambia Mungu aliyekuumba hana akili na hajui ila wewe unajua kuliko yeye na unamsahihisha. Je, unao ubavu huo mtoto?
bibi wee....inakuwaga shida sana......mimi huwa nasubiri tulewe chakari ndio shughuli iendelee....na ni mwiko kuover night....
hivi hizo gharama zote nilizotumia atanirudishia.......?
Meno sio tatizo wengi wanayo
erotica, meno ya bandia nayo vipi katika kuongeza mvuto wa tabasam mwanana kwa mtoto wa kike?
teh teh teh. hata raha ya denda hamna hapo, utakiss magego?:tongue:
i see, ni changamoto kubwa sana kuwa mtoto wa kike katika karne hii ya utandawazi ambapo kuna pressure kubwa ya kwenda na wakati, kukubalika kwa peers na kujikubali mwenyewe, au unasemaje erotica?