Kuchimba Dawa?

Mzalendowetu

Member
May 22, 2012
87
34
Wale mliosafiri siku za karibuni, mtujuze kama sheria ya kuchimba dawa sehemu maalum kama ilivyoelekezwa na SUMATRA inatekelezwa au ni kama ilivyokuwa kwa sheria ya mabasi yote kuwa na mikanda ya usalama (safety belts) au ile ya speed governor?
 
Back
Top Bottom