Alishasema mkewe ni wa kuzaa,kupika na kukaa nyumbani tu. Sasa we mume wa hivyo usipomchepukia basi hata sisimizi watakushangaa.NIKWAMBIE KITU!
KWA AINA HII YA KIBURI AND MIGHTY!
mkeo ANAFIKIRIA,ANAFANYA ZAIDI YA HAYA!
Sijambo mama, tupo hapa tunalijenga taifa.Marahabaa mpenzi,hujambo mummyto?
Hivi huyu Mungu huonana na wanawake tu!! Basi sawa kama ndio hivyo.
Mleta mada unaonekana una asili ya umalaya tu. Mwanamke asiye malaya hawezi kujiingiza kwenye umalaya au uzinzi eti kwa sababu mume wake kafanya. Kinachonekana ni kwamba baada ya kuolewa ulitulia tu pengine kwa hofu kwamba jamii itakuonaje au kwa vile uliogopa kuachika. Lakini waswahili wanasema jasiri haachi asili na ndio maana uliamua kutafuta kila sababu ya kukurudisha kwenye asili yako. Kama mumeo ni malaya hata wewe alikupata kwenye anga za umalaya. Kwa hiyo usitumie umalaya wa mumeo kama kisingizio cha wewe kuwa malaya. Kwanza hata siku moja hujamfumania mumeo wala kuwa na ushahidi kuwa amechepuka. Ila endelea kugongwa tu nje. Ongeza hata wafike ishirini matokeo utayaona baadae. Kamwe mwanamke usishindane umalaya na mwanamume kwa kuwa yeye ameumbwa kutoa huduma hiyo masaa 24. Hana siku za hedhi wala kubeba mimba. Mungu hakuwa mjinga aliyeweka maumbile ya wanawake kuwa tofauti na wanaume. Shame on you.
Inauma eeh?Kabisa espy.
Wacha we!! Kwahiyo hilo ndilo ulilojifunza eti!! Kumbe safari bado ndefu eeeeh!!!Nimeona humu jf kuna mademu wamekuunga mkono saaaana. Ikumbukwe humu kuna watu wenye tabia kama za kwako, wengine waliolewa wakaachika, wengine ni waathirika wa vvu; hivyo wangependa kupata wafuasi wengi. Comments zao zimnipa picha ya nani humu ana tabia kama ya kwako. Mwanamke mwenye busara hashinadani na mwanamume kufanya uzinzi bali hutulia akimuombea mumewe aache tabia hiyo.
Au.hivi humu mnajadili nini? Kila nikirefresh page nauona huu uzi ktk NEW POSTS. Kina dada mnafundishana kuchiti au??
Mungu hapendi akifanya mwanamke eeeh?Ataonana na kila mtu ila ujumbe wangu ni kwa mwanamke anayejisifu kwa uovu wa kuchepuka ambao Mungu hapendi!
Ukiona mwanamume anashindwa kutoa huduma masaa yote ana matatizo ya kiafya. Na kama mumewe ana kibamia na katuambia anachapa hovyo, huyo mwanamke ndio mwenye shida. Ndio maana jamaa anasurura nje (kama ni kweli). Kwa nini wengine wakubali kugongwa na hicho kibamia.
Hebu kunywa maji kidogo mku alafu tuendelee.
Eti mmeumbwa kutoa hiyo huduma masaa mangapi vile!!! Sasa mbona mnashindwa hadi mnasaidiwa jamani!!! Jikuteni tu mna nguvu za kuibeba dunia kumbe hata kiti huwezi.
Sasa kama wote na mumewe ni wazinzi kama ulivyosema mbona tena unaumia mkuu? I unapewa wa kufanana nawe!!
Sie wajanja sanaa, huwa hatuchezi mbali, mchepuko anakuwa anafanana na mume kwa kiasi kikubwa,hivyo tunapunguza doubt za watoto kutofanana na mama wala baba.
Wacha we!! Kila chanzo cha matatizo yenu huwa ni wanawake eeh!!Ukiona mwanamume anashindwa kutoa huduma masaa yote ana matatizo ya kiafya. Na kama mumewe ana kibamia na katuambia anachapa hovyo, huyo mwanamke ndio mwenye shida. Ndio maana jamaa anasurura nje (kama ni kweli). Kwa nini wengine wakubali kugongwa na hicho kibamia.
Au kuchepuka.
Ukiona mume anakukimbia sana jua mtambowako ni mbovu. Hata huko kwenye kuchpuka wanamchora tu na kulicheka dude lake. HahWacha we!! Kila chanzo cha matatizo yenu huwa ni wanawake eeh!!
Basi na huyu mke chanzo cha kuchepuka kwake ni mumewe, ni wakati wa mumewe kumuombea mkewe ili aondokane na dhambi hii.
Sasa unajijua una tatizo why uhangaike na dunia wakati mke ulomchagua mwenyewe unae ndani? Au huwa hamjijui kuwa mna matatizo?
Hahaha, mkuu wala simuongelei my wife wangu, just a general analysis. Si unajua tena humu bado wapo innocent angels.Hahahaaa!! Jirani usiogope, wako hawezi kukengeuka bwana.
Ukiona mke anakukimbia na kuchepuka ujue umeshindwa majukumu yako ya kindoa.Ukiona mume anakukimbia sana jua mtambowako ni mbovu. Hata huko kwenye kuchpuka wanamchora tu na kulicheka dude lake. Hah
Kwakweli innocent angels bado tupo wengi tuHahaha, mkuu wala simuongelei my wife wangu, just a general analysis. Si unajua tena humu bado wapo innocent angels.