Kuchepuka raha

Kwahiyo watu wanaoa ili tu wapate wakuwafunika shuka waumwapo?

Kwani nduguyo wa damu hawezi kufanya hivyo?

Wewe ulioa au kuolewa kwaajili hiyo?
Kuoa au kuto oa ni maamuzi kuwa gume gume ni wewe lakini wenzio wanafurahia maisha ya ndoa kama kawa wewe subilia Mungu akushushie malaika utaoa baba
 
Kuoa au kuto oa ni maamuzi kuwa gume gume ni wewe lakini wenzio wanafurahia maisha ya ndoa kama kawa wewe subilia Mungu akushushie malaika utaoa baba
Hujajibu swali nililokuuliza...badala yake umetoa maelezo yasiyohitajika.
 
Kuoa au kuto oa ni maamuzi kuwa gume gume ni wewe lakini wenzio wanafurahia maisha ya ndoa kama kawa wewe subilia Mungu akushushie malaika utaoa baba
Majibu uliyotoa ni ya mtu aliyekata tamaa na yawezekana kama we ni me unatunza watoto ambao sio wako na majirani wanakushangaa ila wewe unachukulia easy tu na unaamini hakuna mwanamke mwaminifu kwahiyo bora kua na huyo tu licha ya mapungufu yake,pole sana.
 
Acha hizo mie natunza mme na watoto na mmoja wa mke bora babaaaa
 
Kazi ipo!!
 
Jamani huu uzi umefufuliwa tena? DaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watu walikulaga ban zakutosha Enzi yake, πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ ulikuwa Uzi wa.moto balaa?

Vipi dada mchepukaji unaendeleaje na huyo baniani wako wakukubania inabaki na upwiru mwishowe ukachepuka !
 
Funguo inayofungua kila kufuli yapaswa kutunzwa.

Lakini kufuli langu likifunguliwa na funguo ya jirani hakuna ulinzi tena lafaa kutupwa
 
Nasikiaga mke wa mtu mtamu sana inbox me please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…