Kuchepuka ni asili yetu

Mbona hio iko wazi sana, Unampenda kwasababu ya mavazi au muonekano au pesa au perfume kama mmoja wa Dada zetu alivyosema juzi hapa jukwaani kuwa anawapenda sana Brothers za Benki........

Ukifika huko unakutana na vitu vya tofauti kabisa kabisa, ndio unaanza kujiuliza, hivi huyu nae ndio yule kweli au nimekosea?? Niliwahi kuwa na demu mkali sana wakati niko UDSM, ni mzuri kwa kila kitu ni Mnyiramba! Niko Fourth Year yeye yuko First Year, duh mwanangu alikua ananuka kikwapa ni balaaa, ila akiwa nje anavyotembea, na hio jinzi ilivyomkaa, lazima upigane umapte!!

Ni hatari sana tunapomtafuta mtu au kujmpenda mtu kwa ajili ya maumbo, muonekano au mavazi n.k na kuyaacha mambo mengine ya msingi.

Ni hilo tu kwa leo
 

No comment
 
Kumbe mimi nina matatizo!! Ngoja nami nichepuke sasa!
 
kuchepuka ni hulka yamtu si lazima, mfano mi tangu nilipompata mr 2008 had ndoa 2011 had leo tuna 2kids sijathubutu nasijafikiria, mchepuko si dili
 
Kuchepuka kama unavyoiita ni tamaa tu tena za muda mfupi. Ushaona mchepuko unakuwa mrefu, hapana ni kajisehemu kafupi tu. Kwa kingereza wanasema "Diversion" alafu unarudi njia kuu.
 
Chakula kizuri huliwa na wengi~ haya tumia uwezavyo !!! Cheza salama !!
 


Hii ni chungu kumeza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…