Kucheleweshewa usafiri bila sababu maalumu

Kucheleweshewa usafiri bila sababu maalumu

piego

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
289
Reaction score
425
Habari zenu wakuu,

Naomba kuuliza, ikiwa basi linalotoa huduma za kusafirisha abiria mikoani limechelewa kuanza safari bila sababu maalumu, abiria wanatakiwa kuripoti wapi?

Naomba kama kuna mtu anafahamu namba ya simu ya Serikali/taasisi zinazosimamia usafiri wa abiria atume hapa ili turipoti jambo hili

Nimecheleweshewa safari ambayo ilikuwa ianze saa moja na nusu asubuhi mpaka sasa hatujui tunafanyaje? Kila mtu analalamika hapa, na wahusika hawana jibu la maana

Asanteni
 
Sio kweli kwamba hamjui sababu ya kuchelewa, unapotosha au unaficha mambo.
 
Ndani ya gari huwa vinabandikwa vipeperushi vyenye mawasiliano ya latra!

Kama mpo stendi, anza na kituo cha polisi cha hapo stendi!!
 
Habari zenu wakuu,

Naomba kuuliza, ikiwa basi linalotoa huduma za kusafirisha abiria mikoani limechelewa kuanza safari bila sababu maalumu, abiria wanatakiwa kuripoti wapi?

Naomba kama kuna mtu anafahamu namba ya simu ya Serikali/taasisi zinazosimamia usafiri wa abiria atume hapa ili turipoti jambo hili

Nimecheleweshewa safari ambayo ilikuwa ianze saa moja na nusu asubuhi mpaka sasa hatujui tunafanyaje? Kila mtu analalamika hapa, na wahusika hawana jibu la maana

Asanteni
Katika hali ya kawaida, sidhani kama basi linaweza kuchelewa kuanza safari pasipo na sababu maalum, its either;~
1. Lina hitilafu
2. Halina abiria wa kutosha
3. Hawana njezo muhimu nk.
Hata hivyo, wwe upo eneo husika, una wajibu wa kwenda kuzungumza nao kwa namna yenye kuleta tija ili kubaini hivyo kupelelea kuchukua maamuzi stahiki.
Regards.
 
Katika hali ya kawaida, sidhani kama basi linaweza kuchelewa kuanza safari pasipo na sababu maalum, its either;~
1. Lina hitilafu
2. Halina abiria wa kutosha
3. Hawana njezo muhimu nk.
Hata hivyo, wwe upo eneo husika, una wajibu wa kwenda kuzungumza nao kwa namna yenye kuleta tija ili kubaini hivyo kupelelea kuchukua maamuzi stahiki.
Regards.
Asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom