Kuchapiwa mke kunatokana na sababu kuu mbili

Kuchapiwa mke kunatokana na sababu kuu mbili

Kugongewa mke wa ndoa uliyemuoa na wengine nje kunatokana na sababu mbili

1. Hajapata show ya uhakika yaani humgegedi vizuri unadandia kama unadonoa mahindi.

2. Humtunzi vizuri anakuomba hela ya kusuka humpi au humpi matumizi kabisa hata chupi mpya humnunulii anavaa zimetoboka sometime anazishona mpaka na Uzi mweusi. Sasa akikutana na wanaume huko wakampatia laki mbili unadhani kwanini asiwatunuku?

Na ukiona vyote unampa pesa na show mashambulizi ya maana na bado anatoka na mipango ya kando basi tambua ulioaga KAHABA.
Kibaya zaidi unachozungumza ht hukijui. Hlf huenda ht hujaoa, ht km umeoa huenda mke wko anamwegwa vzr
 
Aaaaaaah wengine wanaweka bond mke.
2. Kutamba kwa wenzio mambo ya mkeo kijiweni kuyasema hovyo hovyo huna siri.
3. Kujidai wanyamwezi wanaamua kukukomoa. Na mengine kibaooo. Kama kuleta leta marafiki zako home kunakuwa kama ukumbi wa sherehe. Katika kumi mmoja snitch atapita na mkeo tu. Over
 
Maybe pesa kidogo ni sababu. Lakin ukicheki tofauti ni mazingira boss. Kijijin na mjini ni mazingira tofauti kabisa. Kijiji unaweza ishi low cost life sababu vitu kama maji, chakula ni rahis kupatikana.. lakin mjini unanunua almost kila kitu.
Hata couples wanaoishi mjini wana matumiz na mahitaji tofauti sana na wa kijijini.
Mkuu unamaanisha kama mtu hana pesa za kutosha asioe?
mbona vijijini unakuta pesa ni kidogo lakini
watu wanaishi vizuri kwenye ndoa zao.
Mi nadhani umesahau sababu kubwa
kulipiza kisasi. Hayo mengine ni nyongeza.
 
Cha muhimu ni kutimiza mahitaji mtu akitaka kuchepuka iwe ni tatizo lake na hapo ndio inakuwa rahisi kumuacha akaanze maisha mapya
 
Itoshe tu kusema MWANAMKE Ni Kama bidhaa Inayotafutwa kwa nguvu zote na wateja ambao ni Wanaume. bidha inapohitajika sokoni mnunuzi atatumia njia yeyote kupata bidhaa husika bila kujali ghalama zake. mkuu Omba sana MUNGU Bidhaa Unayoimiliki isiwe inahitajika na wateja wengi (wanaume)utachapiwa tu.
 
Kugongewa mke wa ndoa uliyemuoa na wengine nje kunatokana na sababu mbili

1. Hajapata show ya uhakika yaani humgegedi vizuri unadandia kama unadonoa mahindi.

2. Humtunzi vizuri anakuomba hela ya kusuka humpi au humpi matumizi kabisa hata chupi mpya humnunulii anavaa zimetoboka sometime anazishona mpaka na Uzi mweusi. Sasa akikutana na wanaume huko wakampatia laki mbili unadhani kwanini asiwatunuku?

Na ukiona vyote unampa pesa na show mashambulizi ya maana na bado anatoka na mipango ya kando basi tambua ulioaga KAHABA.

Kuna sababu nyingine ya mwanaume kutojiamini! wee kila siku unamtuhumu kachapwa [emoji15] [emoji12] Atafanya kweli [emoji4]
 
asilimia 90 ya wanawake wanaochepuka, sabau huwa sio muwe wake, bali ni tamaa yake na ushawishi wa huyo mwanaume anayechepuka naye.
Wakati mwingine huwa mafikiria namna wanaume tulivyo ving'ang'anizi, yani unakuta mwanamke anasema kabisa ana mpenzi au mume lakini mwanaume hakati tamaa, ndio kwanza anatumia mbinu mbadala za kumpata.
Sisi ndio tunawakosesha sana wanawake, tunatumia udhaifu wao vibaya.
 
Kugongewa mke wa ndoa uliyemuoa na wengine nje kunatokana na sababu mbili

1. Hajapata show ya uhakika yaani humgegedi vizuri unadandia kama unadonoa mahindi.

2. Humtunzi vizuri anakuomba hela ya kusuka humpi au humpi matumizi kabisa hata chupi mpya humnunulii anavaa zimetoboka sometime anazishona mpaka na Uzi mweusi. Sasa akikutana na wanaume huko wakampatia laki mbili unadhani kwanini asiwatunuku?

Na ukiona vyote unampa pesa na show mashambulizi ya maana na bado anatoka na mipango ya kando basi tambua ulioaga KAHABA.
Baadhi ya wanawake hawana wema
Tenda wema uende zako tu.

Ushauri wa bure
"Usiwekeze upendo na uaminifu kwa mwanamke ili siku akikuzingua, usijiue au kumdhuru mtu ili umuache aende atakapo tu."

Vinginevyo, ke wengi hawaridhiki kwa chichote. Ukimpa hiki, atatoka kwa hiki na ukumbuke hakuna mkamilifu.
Huwezi kuwa mkamilifu kwako na kwa mtu mwingine chini ya jua.

Ova.
 
Tunawasema sana wanawake ila binadamu kwa ujumla ni kiumbe wa ajabu sana.. Yani hatabiriki ndo shida kuwa kuwa na intelligence more than instincts kama wanyama.. So hata sisi wanaume tupewe nini tutacheat tuu
 
Back
Top Bottom