Kuchaguliwa chuo ishakuwa kiki jf

Kuchaguliwa chuo ishakuwa kiki jf

First thing first, write "common sense is not common" not "common sense are not common".

If you want to condescend, at least get the language right.
Ww ndio wale wale mwl wako kingereza ulimpiga nn ww ? Ndio mmejifunza singular tense kwanza jitahidi kuwahi utaelewa tu
 
Ww ndio wale wale mwl wako kingereza ulimpiga nn ww ? Ndio mmejifunza singular tense kwanza jitahidi kuwahi utaelewa tu
Jifunze kuandika sentensi kamili kabla ya kutaka kuchapa wanafunzi kama mwalimu wa Mbeya kwanza.
 
Jifunze kuandika sentensi kamili kabla ya kutaka kuchapa wanafunzi kama mwalimu wa Mbeya kwanza.
Unaweza ukajua unawatoto saba kumbe huyo wa saba ni huyu k****a na unauza mashamba yako umpeleke akasomee degree za kupiga wenzake kama ng'ombe vile
 
Jamani tuwe waungwana basi kila anayechaguliwa chuo leo anataka kuanzisha thread yake tutakuwa na threads ngapi na ukumbuke ww sio wa kwanza kuchaguliwa chuo watu miaka ya 1950's wapo vyuoni wanasoma hivyo vibachela vyenu
Usomi ni kutumia ulichojifunza vizuri na sio kutuambia umechaguliwa kusoma nini
Mbona mkisapu au carry over hamji kuposti jf
Ndalichako a kuwepo miaka iyo ya 1950 kuingia chuo ilikua ka kuvuka bara bara saiv ukiingia u a really genius so acha wafurai ka uumwi kwa wao ku furai never mind
 
wewe itakuwa ulifeli tu.

utanyooka tu,

utatoa povu mpaka utafariki.

NA BADO.
 
Back
Top Bottom