Kuchaguliwa chuo ishakuwa kiki jf

Kuchaguliwa chuo ishakuwa kiki jf

Humu usichukulie serious kila kitu mana kuna watoto wengi na wanazidi kuongezeka hivyo ni jambo la kawaida akishaanza kusoma ndo akili inakaa sawa hizo mbwembwe za kuanzisha mada kila siku zitapotea
 
Wanafunzi wa Secondary wana shida.
 
hahahahaha mkuu umewakata stim
Unyani unyani tu bora kuwaambia yaani sawa na kurudi shuleni na kumfunza babako aeiou na ukajifanya ww ndio unajua babako hajui kitu
 
Waache wajinafasi, kwani umelazimishwa kuchangia?

What's next? Kila mtu akitaka kuanzisha thread ya birthday yake utalalamika threads za birthdays nyingi sana?

Kama kuna tatizo Mods watatuambia.
 
Jamani tuwe waungwana basi kila anayechaguliwa chuo leo anataka kuanzisha thread yake tutakuwa na threads ngapi na ukumbuke ww sio wa kwanza kuchaguliwa chuo watu miaka ya 1950's wapo vyuoni wanasoma hivyo vibachela vyenu
Usomi ni kutumia ulichojifunza vizuri na sio kutuambia umechaguliwa kusoma nini
Mbona mkisapu au carry over hamji kuposti jf
We ni kilaza ata elimu yako inaonekana haijakusaidiaa
 
Waache wajinafasi, kwani umelazimishwa kuchangia?

What's next? Kila mtu akitaka kuanzisha thread ya birthday yake utalalamika threads za birthdays nyingi sana?

Kama kuna tatizo Mods watatuambia.
ahahaaaa madogo wana tabu kweli
 
Waache wajinafasi, kwani umelazimishwa kuchangia?

What's next? Kila mtu akitaka kuanzisha thread ya birthday yake utalalamika threads za birthdays nyingi sana?

Kama kuna tatizo Mods watatuambia.
Kweli ww ni kiranga
Yaaani kiherehere shauku mbwebwe nakuzani ww ndio unaanza sasa unafiri hata hizo birthday baadhi ya tarehe zitafanana ndg
Just use ur mind # common sense , because common senses are not common to all pple
 
ahahaaaa madogo wana tabu kweli
Waacheni wajinafasi, msitake kuwahasi kwa sarakasi
Watapiga pasi kwa kasi pasi na wasiwasi
Wache wapite balehe, kwa raha na mustarehe
Wache wafanye sherehe, kwa nderemo na kelele
Wakikua wataacha, wenyewe watayakacha
Ya utoto yatachacha,
katika kutafuta Kwacha pacha ka bwana Macha
 
Kweli ww ni kiranga
Yaaani kiherehere shauku mbwebwe nakuzani ww ndio unaanza sasa unafiri hata hizo birthday baadhi ya tarehe zitafanana ndg
Just use ur mind # common sense , because common senses are not common to all pple

First thing first, write "common sense is not common" not "common sense are not common".

If you want to condescend, at least get the language right.
 
Jamani tuwe waungwana basi kila anayechaguliwa chuo leo anataka kuanzisha thread yake tutakuwa na threads ngapi na ukumbuke ww sio wa kwanza kuchaguliwa chuo watu miaka ya 1950's wapo vyuoni wanasoma hivyo vibachela vyenu
Usomi ni kutumia ulichojifunza vizuri na sio kutuambia umechaguliwa kusoma nini
Mbona mkisapu au carry over hamji kuposti jf
He kama wanaomba taarifa kuhusu chuo husika? ukiwa unaanzisha thread fikiria kwanza,hivi shule hazijafunguliwa tu???
 
Waacheni wajinafasi, msitake kuwahasi kwa sarakasi
Watapiga pasi kwa kasi pasi na wasiwasi
Wache wapite balehe, kwa raha na mustarehe
Wache wafanye sherehe, kwa nderemo na kelele
Wakikua wataacha, wenyewe watayakacha
Ya utoto yatachacha,
katika kutafuta Kwacha pacha ka bwana Macha
Hawa ndio wanaediti profile zao kabla ya kujua course watakazosoma mfano
Bvm muhas
 
Back
Top Bottom