Kuchagua mke

Kuchagua mke

Lolipop

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
349
Reaction score
81
Chakula chochote chaweza kuliwa, lakini chakula kingine ni bora kuliko kingine.

Mwanamke aweza kuolewa na yeyote, lakini msichana 1 ni bora kuliko mwingine.

Uzuri wa m/mke hufurahisha uso na kushinda kila kitu anachotamani mwanaume.

Kama m/mke ni mwema na mwenye adabu anapoongea, mumewe ana bahati kuliko wengine wote.

M/ume akipata mke amepata ubora mkubwa mno, amejipatia msaidizi bora na nguzo ya msaada.

Mali isiyolindwa kwa ukuta itaporwa tuu, ni pasipo mke, m/ume atatangatanga na kusononeka.

Nani atakayemwamini m/ume asiye na kwake ambaye ana malazi popote usiku unapomkuta.

Kikupasacho mume, chagua mke 1 heshimianeni na mtunze ndoa yenu.
 
Mafundisho ya ndoa...safi sana umenyofoa kwenye kitabu gani cha bible?
 
iwe98.jpg
 
Back
Top Bottom