Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Kama nchi lazima tuwekeze kwenye miradi inayotengeneza fedha (money generating project) Katika jitihada za kuongeza vyanzo vingi vya mapato ntahakikisha Tanzania tuna-kuwa na better ecosystem ya mchezo wa basketball,
NIKIWA RAIS WA TANZANIA kutajengwa Arena 23 kwa ajili ya ligi ya basketball zenye capacity ya watu 25,000 na zitakuwa kwenye miji ifuatayo na mkoa kama dsm zitakuwa mbili
Kutakua na Southern conference na Northern conference lengo ni kuwa na ligi bora ya basketball kwa bara la Afrika yenye miundombinu mizuri na ya kisasa
Lengo ni serikali kukusanya mapato zaidi ya tsh billion 500+ kwa mwaka kutokana na mchezo wa basketball na Multiplier effects yake naamini kwa kuwekeza kwenye hiyo miundombinu tutakuwa tumeongeza chanjo kipya cha mapato
www.jamiiforums.com
NIKIWA RAIS WA TANZANIA kutajengwa Arena 23 kwa ajili ya ligi ya basketball zenye capacity ya watu 25,000 na zitakuwa kwenye miji ifuatayo na mkoa kama dsm zitakuwa mbili
- Dsm
- Dodoma
- Mbeya
- Arusha
- Moshi
- Tanga
- Bukoba
- Kigoma
- Morogoro
- Iringa
- Mtwara
- Tabora
- Singida
- Sumbawanga
- Mpanda
- Njombe
- Lindi
- Songea
- Kahama
- Musoma
- Geita
- Tunduma
Kutakua na Southern conference na Northern conference lengo ni kuwa na ligi bora ya basketball kwa bara la Afrika yenye miundombinu mizuri na ya kisasa
Lengo ni serikali kukusanya mapato zaidi ya tsh billion 500+ kwa mwaka kutokana na mchezo wa basketball na Multiplier effects yake naamini kwa kuwekeza kwenye hiyo miundombinu tutakuwa tumeongeza chanjo kipya cha mapato
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...