Kubenea ni kibaraka wa CHADEMA!!!

Kubenea ni kibaraka wa CHADEMA!!!

Sidhani kama unamjua Kubenea vizuiri. Na nadhani ukibaraka wako unakusumbua tu. Kubenea ni Mwandishi Jasiri ambaye hayuko biased . Yuko tayari kutoa maisha yake kwa kutetea taaluma yake. Ni mkweli. Anapozungumzia CHADEMA, acha aseme ukweli. CHADEMA ni chama kinachotetea wanyonge na kinasema ukweli ambo hata wananchi wameanza kuelewa. Mwalimu Nyerere enzi za uhai wake alisifia sera za CHADEMA , alisema. ' Nimesoma sera za CHADEMA , Ni FINE' .
 
hii ilitokana na njaa aliyokuwa nayo kwani yeye kwake ni pesa mbele

Si Kweli:
Ingekuwa ni kweli ana tamaa kihivyo angeshawaangukia na kuwasafisha watuhumiwa wa ufisadi, ila yeye ndo amekuwa mstari wa mbele kuweka ushahidi mbalimbali hadharani na kutufunua macho kupitia gazeti lake la kutetea wanyonge.
 
Kubenea pamoja na kufatalia Maongezi ya Zitto na Bosi wa usalama wa taifa pamoja na Rostam kujua mpaka dakika waliziongea na sehemu walipo.
Lakini kashindwa kujua waliomwagia tindikali
 
Wabongo bwana kwa kushikwa maskio!!! Yaani kila anachosema nyerere wanachukulia kama andiko la bible! Mnaboa
Sidhani kama unamjua Kubenea vizuiri. Na nadhani ukibaraka wako unakusumbua tu. Kubenea ni Mwandishi Jasiri ambaye hayuko biased . Yuko tayari kutoa maisha yake kwa kutetea taaluma yake. Ni mkweli. Anapozungumzia CHADEMA, acha aseme ukweli. CHADEMA ni chama kinachotetea wanyonge na kinasema ukweli ambo hata wananchi wameanza kuelewa. Mwalimu Nyerere enzi za uhai wake alisifia sera za CHADEMA , alisema. ' Nimesoma sera za CHADEMA , Ni FINE' .
 
Siku hizi tz kila mtu anayejua kuongea anatetea wanyonge!! Wanasiasa,viongozi wa dini,wasanii etc! Hata mimi natetea wanyonge!!! Unafiki mtupu
Si Kweli:
Ingekuwa ni kweli ana tamaa kihivyo angeshawaangukia na kuwasafisha watuhumiwa wa ufisadi, ila yeye ndo amekuwa mstari wa mbele kuweka ushahidi mbalimbali hadharani na kutufunua macho kupitia gazeti lake la kutetea wanyonge.
 
kweli mti wenye matunda hupigwa mawe, na mwamba wenye madini huchorongwa
long live saed
 
basi anatisha,maana nyie mna vyombo lukuki lakini mnatolewa kamasi na kubenea pekeeee,mna jamba leo,uharo mzalendo daily ushuzi,hat tbc(toa basi chupi) lakini kawafunika kama alivyowafunika masaburi
 
  1. Kubenea SIO mwandishi wa habari by profession..
  2. Kubenea ana elimu ndogo
  3. Kubenea ni mganga njaa yuko tayari kufanya au kutoa lolote kwa ajili ya pesa
  4. Kubenea sio mwaminifu.......
  5. Ameshawahi kupatwa na kashfa za utapeli




  1. Kubenea SIO mwandishi wa habari by profession.. - Kwaiyo wataka kutuambia yeye ni mwandishi wa aina gani na professional yake ni ipi?
  2. Kubenea ana elimu ndogo- Hebu tupe hata hiyo ndogo aliyo nayo tuijue mkuu
  3. Kubenea ni mganga njaa yuko tayari kufanya au kutoa lolote kwa ajili ya pesa - ana ganga njaaa kwa kwa style ipi tujuze
  4. Kubenea sio mwaminifu....... - Kamdhurumu nani au ni siri gani kakufichulia na ilikuwa personal?
  5. Ameshawahi kupatwa na kashfa za utapeli - Kamtapeli nani thibitisha tafadhari


 
Nami mwenyewe inanipa mashaka huyo bibie hapo maaana soon na takataka zote hewani hapo ndo unakuta mtu virse versa yaleyaleeee!!
 
Hiyo yakubenea naona wengi wao wanaanza kuweka persornal interest badala yakuangalia kazi husika,nyambafu!!
 
Back
Top Bottom