Kubenea: Lowassa ameonesha njia

Leo hii kubenea wa kusema mazuri kuhusu lowassa .. nikikumbuka kipindi kile gazeti lilivokuwa likimnanga
 
Kubenea kumbe wakati mwingine zimoe,hongera sana kwa kuliona hili.
 
lowasa alikwenda ikulu kwa maslahi binafsi kubenea asifanye maigizo. hakuna zaidi hapo
 
Kama hamrudishi chenji yake basi yeyote atakayejitokeza kujifanya kuwa msemaji wa chama basi yatampata yaliyompata [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG]
Chenji lazima irudi, la sivyo chama kitakufa. Mnapenda kula vya bure siyo?!
 
Ndo mmejua leo?
 
Kama hamrudishi chenji yake basi yeyote atakayejitokeza kujifanya kuwa msemaji wa chama basi yatampata yaliyompata [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG]
Chenji lazima irudi, la sivyo chama kitakufa. Mnapenda kula vya bure siyo?!

Hatupendi kula la vya bure mama Regina, ila muambie mumeo mjini hakutaki papara matokeo yake ndio haya kaingizwa mjini.
 
Umetumia mfano mzuri kbs naomba tujifunze pia kupitia huo mfano wako ndugu yngu jee wapemba walifukuzwa makazini walirudishwa je wapemba waliokuwa njee km wakimbizi wamerudi kifupi kitu ambacho umekisahau hapo Maalim Seif alikwenda kwa ajiri ya maslahi yke na familia yke ndicho nikionacho kwa mzee wngu lowasa ngoja tuone ila nina hakika baada wiki mbili mkwewe atapewa dhamana miradi yke iliyopingwa pin watalengeza kifupi tunaweza kurudi kwenye kitabu cha the are beautifuly one's are not yet born sina na ilo jina la kitabu naweza kuwa nmechapia ila kitabu hicho kinaeleza mengi khs waafrika na Siasa zetu za matumbo yetu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…