Kubenea kumvaa Dr. Slaa


Ndio dawa ya watu wazembe wazembe kama slaa,wacha aumbuliwe
 
Hana madhara huyo, kama alivyoacha utawa na bado watu wanasonga mbele na imani yao, vivyo hivyo ameiacha CHADEMA itaendelea kupaa bila yy, aende mbele.....

Peopleeeeeessssssssssss
 
Siasa za mwaka huu ni za kipuuzi.....watu baada ya kutangaza sera kwa wananchi..wanatuletea mambo ya mipasho.....
Kubenea wakazi wa jimbo lako tunataka kujua utatatuaje tatizo sugu la MAJI,,,,...???

Baada ya miaka 54 ya uhuru bado unamuuliza mbunge wako shida ya maji itaisha lini?
 

Ccm chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Huyu jamaa kupitia gazeti lake la mwanahalisi.ameongea mengi kuhusu lowassa, wakati akihutubia huo mkutano huko kyera na hata kwenye mkutano na wanahabari awaeleze watanzania ni kwanini alikuwa anamchafua lowassa kupitia mwanahalisi na kuwadanganya watanzania kuwa lowassa ni fisadi.
 
Reactions: nao

Cc:lizaboni
cc;Ritz
 
Kwa watu tusioyumbishwa na Propaganda za wanasisa tumeshaona Kubenea tumuweke daraja gani.
Hana tofauti na Lowasa na Mwakyembe
ambao waliyajua maovu wakayafumbia macho ili kulinda mkate wao.
Leo wanaumbuliwa kwa siri chafu walizoficha ndio wanajifanya ni wakati wao wa kuzimwaga.
Nawadharau!!!
 
kubenea hawa madokta na maprofesa wa Tanzania ni wakuwapuuza kabisa. cha kushukuru ni kwamba watanzania wa leo wanajua kilicho nyuma yao.

Makamba leo ametamani mpira uishe atimue mbio maana uwanja alikuwa anauona ni mchungu
 
dk slaa na watu kama nyie hiv mmeshindwa kujua shetani tunayepambana nae ni CCM (sio Magufuli), wamezoea kulindana mpaka bunge letu limekua la ajabu..kisa ccm wengi.

Slaa anatumika kama yuda
 
Msaliti silaha padri aliyemuhasi mungu na wanadamu kwa kuitelekeza mbingu, familia na chama kwa uroho wa pesa na tamaa za mwili Kamwe hawezi kurudisha nyuma harakati za mabadiliko.
hapo ni uongo mtupu hata mwenyewe unafahamu. huyo mungu wenu ws chadema mungu gani hamumuogopi? au umegeuka zombie wa akina mbowe na lissu au tumbo ndio inakutuma.
 

Nami nskupongeza kwa kuwa wewe ni mtu makini,hongera sana
 
Hoja ya babu kununuliwa imeanzishwa na nani?
Aje na hoja sio mnatuletea Propaganda hapa.
Mnazusha tu maana hata wakati tunasikiliza hotuba ya Slaa kuna watu palepale walipata hisia za kua kanunuliwa. Naona mnajaribu kujengea hoja hisia zenu.

HOJA ZA SLAA ZINA UKWELI?
ZIMEJIBIWA?
 
Aite tu Press Conference kwa sababu yeye ni msafi.
 
Achaneni naye Dr Slaa atawapotezea muda wa kufanya kampeni na kusema sera zitakazoleta mabadiliko ktk taifa letu

Hawezi kupoteza muda atakuwa anapigwa kwenye majukwaa hadi akimbie maana kaamua kutumiwa kama ile mipira ya kuzuia uzazi baada ya kutumiwa inatupwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…