Kubenea atumia ‘Wheel chair’ kwenda mbele ya kamati, ashindwa kuhojiwa

Hii ni hatari sana tunatumia gharama kubwa unnecessary. Nguvu kubwa bila sababu
 
Hiyo kamati ya watu wa ajabu,unafiki,upambe,kujipendekeza kma spika wao,mbna makondakta aliwadharau hawakumfanya lolote,kumkamata na kumpeleka bungeni kazi yao kuonea upinzani tu,
Kama hawataki kusemwa wajiue waende ahera tu,kuwashwawashwa sio kitu kizuri
 
Kubenea haumwa chochote,alidhani angeweza kuvimbia mamlaka,kaona akodi kiti cha wagonjwa kikao kiahirishwe apate kwenda kumuomba radhi spika,kesho mtamuona kubenea akiwa kasimama na afya yake
 
Tunaandika sana lakini sijui kama inasaidia.Ngoja tuendelee kwa sababu hapa ndio kwetu.
Kuna mambo ambayo hayahitaji kupaza sana sauti hasa ukishakosea!!
Tangu awamu hii imeingia pamekuwa na malalamiko ya kuwa mhimili wa serikali unaingilia bunge na mnakumbuka hata vurugu za upangaji wa kamati.
Pia mnakumbuka Tulia Ackson alivyoingia na kupata u naibu spika.
Ndugai alipaswa kufanya ambayo yangeonyesha hata kwa nje tu bunge sivyo kama tunavyoaminishwa,HAKUFANYA.
Funga kazi ni juzi wakati Raisi alipoeleza hadharani kuwa wakati wa kuunda kamati ya almasi na vito Spika alimpigia simu kuhusu wajumbe,AIBU ya mwaka!!Ndugai utajitetea nini katika hilo,badala ya kuomba ushauri wa hata naibu spika wako unakwenda kwa Raisi (Mhimili mwingine)na Raisi kalitoa kama lilivyo.
Ni bora ungenyamaza lakini hii nguvu inayotumika kwa ajili ya kauli ndogo kama kupishana idadi ya risasi ni kupoteza muda bure.
Leo nimesikia Zitto afikishwe haraka,mtu aliyeunguliwa na nyumba na vitu vyote.Haiwezi ikasubiri bunge la Novemba?
Hivi ukipiga magoti na kusali unazungumza maneno gani?
"Haikuwa dunia ila starehe zenye kupita na kudanganya"
 
My Take
Spika Ndugai anawezaje kulazimisha mtu akamatwe akiwa hospitalini na kupelekwa bungeni kwa nguvu na hatimaye kushindwa kumuhoji. Huyu ni kielelezo cha viongozi walio na akili ndogo kupewa majukumu makubwa
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...
Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…