Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,729
- 1,325
Juzi kati ni siku gani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa kwa sabau Lissu ni mfanyabiashara.Issue ya Lissu Chadema mnaitumia kuibuka kisiasa.
Disgusting.
Tunaandika sana lakini sijui kama inasaidia.Ngoja tuendelee kwa sababu hapa ndio kwetu.
Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeahirisha kumuhoji Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea kutokana na kufika mbele yake akiwa mgonjwa.
Kubenea amefika mbele ya kamati leo Jumatano saa nne asubuhi akiwa katika baiskeli ya wagonjwa (Wheel chair) chini ya ulinzi wa askari wa Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kapteni mstaafu George Mkuchika amesema walikutana kutokana na kupelekewa shauri na Spika la kumuita Kubenea akidaiwa kudharau mamlaka ya Spika kwa kauli alizozitoa katika kanisa moja jijini Dar es Salaam.
“Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge inakutana pale inapoletewa shauri na Spika, tumeletwa mashauri ya Kubenea ya kudharau mamlaka ya Spika kwa kauli ambazo amezitoa katika kanisa huko Dar es Salaam,” amekaririwa Mkuchika katika taarifa iliyotolewa na Bunge.
Amesema utaratibu unamtaka mtu anayetakiwa kufika mbele ya kamati hiyo kupelekewa hati ya kuitwa na kwamba alishapelekewa.
Mkuchika amesema Kubenea amepelekwa akiwa katika baiskeli ya wagonjwa na kuiomba kamati impangie siku nyingine kwa hiyo wameridhia ombi lake.
“Kamati baada ya kumsikiliza Kubenea imeridhia ombi lake la kumpangia tarehe nyingine kwa kumpa muda wa kuangalia afya yake mpaka atakapopona,” amesema.
Mkuchika aliagiza Kubenea apelekwe katika Zahanati ya Bunge ili apewe huduma ya kwanza.
Awali, Kubenea baada ya kuhojiwa na kamati kama ataweza kuzungumza katika kikao hicho aliiomba kamati kumpangia siku nyingine kwa kuwa asingeweza kuzungumza kwa wakati huo kutokana na kuwa katika maumivu makali.
Septemba 12, Spika wa Bunge, Job Ndugai aliagiza mbunge huyo kufika mbele ya kamati hiyo kuhojiwa kuhusu tuhuma alizozitoa wakati wa ibada Septemba 10 kwamba Spika alisema uongo bungeni wakati akitangaza idadi ya risasi zilizopigwa kwenye gari la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.
Hata wanaomfuatilia nao ni wajinga. Unaitoa ndege Dar impeleke Kubenea kuhojiwa halafu inashindikana, nani mjinga sasa hapo?Mtu mwenyewe anajijua ana afya mbovu, halafu anafanya mambo ya kijinga sana!!
Bashite ni specialHivi mbona Bashite alijipangia siku ya kwenda kuhojiwa
PoaMi sijasema...
KubonyeaHata wanaomfuatilia nao ni wajinga. Unaitoa ndege Dar impeleke Kubenea kuhojiwa halafu inashindikana, nani mjinga sasa hapo?
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...My Take
Spika Ndugai anawezaje kulazimisha mtu akamatwe akiwa hospitalini na kupelekwa bungeni kwa nguvu na hatimaye kushindwa kumuhoji. Huyu ni kielelezo cha viongozi walio na akili ndogo kupewa majukumu makubwa
PaskaliWanabodi,
Vichaa Viongozi, au Viongozi Vichaa?.
Kwa muktadha huo wa ukichaa, ukiwasikiliza matamko wanayotoa baadhi ya wanasiasa na viongozi wa serikali, vyama na taasisi hata wa mihimili, na ukafuatilia matendo yao,amri zao na maamuzi yao, utakubaliana na mimi kuwa, sisi Watanzania tuna vichaa wengi zaidi kuliko tunavyo jidhania.
What to do to help out.
iwekwe kabisa kwenye sheria, taratibu na kanuni, moja ya vigezo wa kuwa kiongozi wa ofisi za umma ni pamoja na kupimwa afya ya akili, ili kuepuka kuwa na viongozi vichaa?.
Paskali