Kubandika kucha bandia & ndefu mikono yote miwili

naija-lojja

Senior Member
May 13, 2017
163
64
Poleni kwa majukumu ya kazi wanajamvi, nimekua nikijiuliza swali kwa mda mrefu ila nkaona nishee apa.... awa wadada wanaobandika kucha ndefu mikono yote miwili ivi inapofika swala la kuchamba baada ya haja kubwa huwa wanafanyaje kwan kwa ninavo jua ili mtu uweze kusafishika vizur lazima matumizi ya maji na sabuni yahusike ss na hizo kucha ndefu inakuaje kunako... pia ata kufua nguo zao za ndani inakuaje...??
 
Mm napenda kucha refu sio za kubandika nazitia hina zinapendeza tuuu
Ni ndefu mikono yote miwili kaaah dada , mikucha mirefu huwa niucha hata kama unaitia nakshi gani, sasa ukiingia maliwatoni inakuwaje ? Hebu tujuze
 
Kwa sababu ni za kubandika na kubandua, labda akishkwa haja kubwa anabandua, akimaliza kujisaidia anabandika tena!
Mmh kma mtu anaweza kukaa saa zima saloon anabandika jee unadhan ataweza kubandua aende kwanza maliwato and then arudishe io haiopo mkuu
 
Wengi wao awajisafishi vizuri wanatoka na uchafu unabaki kwenye kucha zile kucha zimebandikwa na gundi kwahiyo siyo za kutoa na kurudishia uchafu upo kwa 99%
Umeonae imagine ni mwanaume umeoa mwanamke dizain iyo hawezi hata kukufulia boxer duuh ni changamoto!!!
 
Ni ndefu mikono yote miwili kaaah dada , mikucha mirefu huwa niucha hata kama unaitia nakshi gani, sasa ukiingia maliwatoni inakuwaje ? Hebu tujuze
Ingekua vizur aje mhusika yeyote afafanue au unasemaje mkuu
 
Ni ndefu mikono yote miwili kaaah dada , mikucha mirefu huwa niucha hata kama unaitia nakshi gani, sasa ukiingia maliwatoni inakuwaje ? Hebu tujuze
Sio reeeeefuuuuu za kunikera mm au mtu mwengine na halafu nazishuhulikia hazikai uchafu na hata nikienda haja hazinikeri pia nikitoka msalani najisafisha.....
 
Sio reeeeefuuuuu za kunikera mm au mtu mwengine na halafu nazishuhulikia hazikai uchafu na hata nikienda haja hazinikeri pia nikitoka msalani najisafisha.....
Ok kama ni ivo poa yaan, kwa jinsi ulivyozifia daah nimetamani nizione yaan
 
Kucha ndefu ni uchafu hata mtu ajitetee kwa namna gani..hebu fikiria kama ukila ugali tu ile kumega lazima unabaki kwenye kucha vipi kuhusu hayo mengine kama kujiswafi huko maeneo?kwanza utaishia kujijeruhi tuu yaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom