kubadilishana kituo cha kazi

kubadilishana kituo cha kazi

Kabadilishana vituo vya kazi ni utaratibu pia

Badala ya kusubiri hiyo bahati na sibu ama coincidence ya mtu anayetaka kurudi unapotoka nawe kwenda alipokuwa utaratibu ni kwenda kwa mkurugenzi wa say Halmashauri unayotaka kuhamia ataangalia kama ana nafasi kwenye halmashauri husika na kama itakuwepo utarudi kwenye halmashauri unayofanyia kazi unaandika barua kwa mkurugenzi unaacha nakala kwenye kituo chako cha kazi kisha unahamia kwenye halmashauri uliyoomba ili kupangiwa kituo kingine!
 
Badala ya kusubiri hiyo bahati na sibu ama coincidence ya mtu anayetaka kurudi unapotoka nawe kwenda alipokuwa utaratibu ni kwenda kwa mkurugenzi wa say Halmashauri unayotaka kuhamia ataangalia kama ana nafasi kwenye halmashauri husika na kama itakuwepo utarudi kwenye halmashauri unayofanyia kazi unaandika barua kwa mkurugenzi unaacha nakala kwenye kituo chako cha kazi kisha unahamia kwenye halmashauri uliyoomba ili kupangiwa kituo kingine!
Ingekuwa rahisi rahisi kama ulivoandika hapa mbona ingekuwa raha,
wahamaji ni wengi, kwa waliopo vijijini (wilayani) wanataka kujimuvuzishia mijini unadhani wakurugenzi wanakubali kirahisi rahisi, watapata wapi wafanyakazi wa kwenda huko bush tena? Kupata mtu wa kubadilisha ni kazi kwakweli japo ukimpata unahama kirahisi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom