Kubadilisha Muundo wa utumishi

Kubadilisha Muundo wa utumishi

Joined
Jul 15, 2013
Posts
19
Reaction score
5
Wana JF, mwenye uelewa na hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Hivi? kwa mwalimu aliyejiendeleza kitaaluma kutoka ngaz ya cheti hadi shahada ya ualimu, inamchukua muda gani ili abadilishiwe Daraja lake au Muundo wa utumishi.
 
Kama ushatimiza miaka minne kazini inatakiwa ubadilishwe pale tu unapokuwa umekiwakilisha cheti salary inabadilika bila longolongo
 
Hakuna muda muafaka.

Kinachotakiwa ni kuwasilisha cheti chao kwa muajiri, na pia uombe kwa kuandika barua ya kuomba kubadilirishiwa kada/ nafasi kulingana na mahitaji.

sio lazima mtu kubadilishwa kisa umesa, kinachotakiwa ni kupewa kipaumbele kama nafasi itatikeA
 
Kwa serikali hii ya kubana matumizi nadhani mwalimu apambane na hali tu kwanza
 
Back
Top Bottom