CHIEF MGALULA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,190
- 889
Wandugu Nina Mjomba Wangu Kachaguliwa Medicine Bugando, Tunahitaji Kufanya Mabadiliko Ya Kuja Muhimbili Au UDSM, Nifuate Njia Gani Ndugu??
Wandugu Nina Mjomba Wangu Kachaguliwa Medicine Bugando, Tunahitaji Kufanya Mabadiliko Ya Kuja Muhimbili Au UDSM, Nifuate Njia Gani Ndugu??
Mkuu Gharama Za Awali Kabla Hajapata Boom Ni Mtihani, Ila Akiwa Dar Tutabanana Hapa Hapa Hadi Apate Mkopo, Halafu Condition Za Bugando Anatakiwa Alipe Karibu 2m Kabla Ya Tar 1, Hapo Ni Mtihani MwingineLakn kwan nn uhame bugando mbona pako vinzuriii
Tatizo Sio Msuli Kaka, Hali Ya Ki Uchumi ZaidiUnajua medicine popote utakapota ni vema wee kaza msuriii tuuu mafanikio ni popote paree mujomba
Kwa Nini, Mbona Unakuwa Rigid Sana AiseeeHuwezi
Umeona Hapo Kaka, Itafika Tu Hapo Hizo Ni Direct Univ.cost, Bado Za Kwake2M haifiki mkuu..ada nusu around 520,000, room wanataka yote mwaka huu 480,000...registration 450,000...mkuu pamekua pachungu now..
Pole kwa kupungukiwa kaka, lkn ni kheri kwa kuwa walau kapata nafasi ya kuingia chuo.Wandugu Nina Mjomba Wangu Kachaguliwa Medicine Bugando, Tunahitaji Kufanya Mabadiliko Ya Kuja Muhimbili Au UDSM, Nifuate Njia Gani Ndugu??
Pole uza chochote ulicho nacho mtoto asome, we have been sailing in this situation for five years now!Mkuu Gharama Za Awali Kabla Hajapata Boom Ni Mtihani, Ila Akiwa Dar Tutabanana Hapa Hapa Hadi Apate Mkopo, Halafu Condition Za Bugando Anatakiwa Alipe Karibu 2m Kabla Ya Tar 1, Hapo Ni Mtihani Mwingine
mjomba wako au ww be specificWandugu Nina Mjomba Wangu Kachaguliwa Medicine Bugando, Tunahitaji Kufanya Mabadiliko Ya Kuja Muhimbili Au UDSM, Nifuate Njia Gani Ndugu??
Nenda kwanza MUHAS ukaongee nao kama wana nafasi ndio ufuatilie TCUWandugu Nina Mjomba Wangu Kachaguliwa Medicine Bugando, Tunahitaji Kufanya Mabadiliko Ya Kuja Muhimbili Au UDSM, Nifuate Njia Gani Ndugu??
Serious Kaka,na Ningekuwa Mimi Ningesemamjomba wako au ww be specific
sawa mkuu mi naona komaa ukouko kwan laZm Uje UDSMSerious Kaka,na Ningekuwa Mimi Ningesema
sawa mkuu mi naona komaa ukouko kwan laZm Uje UDSM