kwa umri wake kuelewa herufi za kichina ni maumivu matupu ya kichwa..sasa sijui atajifuza lugha muda gani ili kuweza kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha kwa ajili ya manufaa ya taifa!!
Kwa nchi kama hizi language is a huge barrier, tofauti kabisa na nchi zinazozungumza kiingereza, au lugha nyingine zinazokaribiana!!