Kuanzisha Shule ya Mahusiano

Kuanzisha Shule ya Mahusiano

shikwashikwa

Senior Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
188
Reaction score
46
Habari zenu ndugu wajenzi wa amani,

Ndio unapodhungumzia mapenzi unaijenga Amani kwa kanuni ile ile ya Upendo.Ndugu yenu nina wazo nadhani njaa hizi zimepelekea nikafikia kuwaza kuanzisha Chuo cha mafunzo ya ndoa.

Najua kuna event huwa zinafanyika kwenye jamii yetu pindi watu wanapoamua kuwa pamoja kama kitchen part na beg part, sina nia mbaya ya kuharibu mfumo huo ambao umekuwapo tangu enzi na enzi na najua kuwa kuna mafundisho ya ndoa kwenye imani zetu sawa sina tatizo nao.

Mimi nataka nijikite kwenye mambo 3 yafuatayo.
1~Kujua kama mpenzi ulienae ni sahihi (hapa utahitajika kunipa tabia zote za mwenzi wako) coz miezi 2

2~Jinsi ya kuishi kwa hisi pamoja (hapa ndio muhimu sana na panabeba mantiki nzima ya mapenzi) coz miezi 3

3~Jinsi ya kutongoza.(hapa ni kwa jinsia zote na jinsi ya kukubali/kukataa bila kuleta mazala kwa muhusika) hapa ni mwezi

Kozi zote tutazifundisha jioni na alfajiri bila kuingilia ratiba zenu za kila siku kwenye majukumu yenu. Matumaini yangu tutapunguza kama sio kumaliza kabsaa matatizo lukuki yanayokabili mahusiano yetu na ndoa zetu.

Asante naomba mawazo yenu ili nianze mchakato rasmi
 
Ni kweli uyasemayo?
Shikwashikwa kwangu maana halisi ni kitendo cha kukamatwa kamatwa
sawa ila wewe umejiita shikwashikwa,, usijitoe ufahamu,,, sihitaji historia hapa,,, wewe wa kushikwashikwa tuu......
 
on my view mii naona kwa wana ndoa the very same way you created a problem should be the very same way to solve it

mii naona maisha hayana formula , unaweza ukatumia substitution method kusolve kumbe ulipaswa utumie

differentiation so , mii naona sijui kumwambia mtu matatizo yangu ya ndoa anisaidie kusort out naona ni uzushi tu

utamwambia afu atakutangaza mtaa mzima shit. the only way to sort out issues ni mmoja wenu inabidi awe mpole tu,

marriage is not all about being right , sometimes you have to sacrifice the truth just to keep the relationship and forget

about being right inorder to be at peace with one another , hahaha uwii mahaba niue mie
 
Habari zenu ndugu wajenzi wa amani,

Ndio unapodhungumzia mapenzi unaijenga Amani kwa kanuni ile ile ya Upendo.Ndugu yenu nina wazo nadhani njaa hizi zimepelekea nikafikia kuwaza kuanzisha Chuo cha mafunzo ya ndoa.

Najua kuna event huwa zinafanyika kwenye jamii yetu pindi watu wanapoamua kuwa pamoja kama kitchen part na beg part, sina nia mbaya ya kuharibu mfumo huo ambao umekuwapo tangu enzi na enzi na najua kuwa kuna mafundisho ya ndoa kwenye imani zetu sawa sina tatizo nao.

Mimi nataka nijikite kwenye mambo 3 yafuatayo.
1~Kujua kama mpenzi ulienae ni sahihi (hapa utahitajika kunipa tabia zote za mwenzi wako) coz miezi 2

2~Jinsi ya kuishi kwa hisi pamoja (hapa ndio muhimu sana na panabeba mantiki nzima ya mapenzi) coz miezi 3

3~Jinsi ya kutongoza.(hapa ni kwa jinsia zote na jinsi ya kukubali/kukataa bila kuleta mazala kwa muhusika) hapa ni mwezi

Kozi zote tutazifundisha jioni na alfajiri bila kuingilia ratiba zenu za kila siku kwenye majukumu yenu. Matumaini yangu tutapunguza kama sio kumaliza kabsaa matatizo lukuki yanayokabili mahusiano yetu na ndoa zetu.

Asante naomba mawazo yenu ili nianze mchakato rasmi

Mkuu nenda kale, ukishiba utakuja na wazo BOMBA zaidi... Asante
 
Unauzoefu gani katka ndoa. Na unaelimu gani katika maswala ya ndoa? Unaonaje uneweka wazi wasifu wako.
 
njaa ndio uwaze mambo ya ndoa? na umeshasema ni njaa sasa nani atakubali kupata hiyo elimu yako?
 
Haya mambo hayana kanuni mkuu useme ni fiziksi au hesabu kwamba jibu lake ni universal,hakuna kitu kama hicho,,wewe mwenyewe unaweza kua unafundisha kabla hata wanafunzi hawajamaliza robo mhula yakawa yamekukuta na ukaahirisha kufundisha na shule ikafa.
 
Nani kasema ndoa yangu imenishinda?
Ndoa yangu ipo imara sana mkuu

Kumbe ushamuoa yule ex wako mloenda kukutana hotelini sijui baada ya kugundua wife to be alipitiwa na dogo wako. Na ndoa iko imara tiari.hongera sana shikwashikwa..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom