SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,052
- 2,846
Mie nakushauri UJIPANGE zaidi kiakili kuliko kifedha..kwa sababu hata bila kuoa pesa utaitafuta tu!
Ninaposema ujipange kiakili namaanisha 'utayari wa kujenga familia'..manake ndoa sio kumiliki papuchi tu kuna majukumu pia!
Kwa hiyo cha msingi jiulize kama uko tayari kiakili and then look for someone ambaye naye atakuwa na mtazamo kama wako!..Tatizo unaweza ukawa mwenyewe umejipangilia vizuri bahati mbaya ukaangukia kwenye 'miiba'..beware of matching..itakusaidia! Mengine yanakujaga tu automatically na yatasoviwa pale yatakapokuja!!.....
Ninaposema ujipange kiakili namaanisha 'utayari wa kujenga familia'..manake ndoa sio kumiliki papuchi tu kuna majukumu pia!
Kwa hiyo cha msingi jiulize kama uko tayari kiakili and then look for someone ambaye naye atakuwa na mtazamo kama wako!..Tatizo unaweza ukawa mwenyewe umejipangilia vizuri bahati mbaya ukaangukia kwenye 'miiba'..beware of matching..itakusaidia! Mengine yanakujaga tu automatically na yatasoviwa pale yatakapokuja!!.....