The Editor
Member
- Dec 18, 2012
- 23
- 5
Namshukuru Mungu amenijalia Kazi nzuri na maisha yanaenda bila tatizo.
moja ya changamoto ambayo huwa inaniumiza kichwa ni katika swala zima la muda muafaka wa kuanza maisha ya ndoa,
kwa vijana wengi, mtu akishapata kazi alaf akaanza maisha ya kujitegemea bac haitachukua muda utasikia ameoa.
sipingi suala hili hata kidogo, najaribu kuangalia kama kuna vigezo vingine muhimu ambavyo huwa hatuviangalii.
Ni vigezo vipi ambavyo kijana unatakiwa uvitilie maanani kabla hujafanya uamuzi wa kuoa?, Je, ni umri na hali ya
kifedha tu?..upi ni muda muafaka wa kuanza hatua hii muhimu ktk maisha yetu?
naomba kuwasilisha.
moja ya changamoto ambayo huwa inaniumiza kichwa ni katika swala zima la muda muafaka wa kuanza maisha ya ndoa,
kwa vijana wengi, mtu akishapata kazi alaf akaanza maisha ya kujitegemea bac haitachukua muda utasikia ameoa.
sipingi suala hili hata kidogo, najaribu kuangalia kama kuna vigezo vingine muhimu ambavyo huwa hatuviangalii.
Ni vigezo vipi ambavyo kijana unatakiwa uvitilie maanani kabla hujafanya uamuzi wa kuoa?, Je, ni umri na hali ya
kifedha tu?..upi ni muda muafaka wa kuanza hatua hii muhimu ktk maisha yetu?
naomba kuwasilisha.