Miezi mitatu mtoto wa kike unaweza kuanza kumfundisha kukaa mkuu.Usihofie,huo ndio umri muafaka kwa mtoto wa kike.
Kukaa lazima umpe hilo zoezi... ila vingine vyote huja automatic....kwani ni kumfundisha au hua inatokea naturally, then utamfundisha kutambaa?!...then kutembea...!!!!