Simu yangu ni Nokia 5700 nauliza kama ninaweza kuchek tv kwenye simu na taratibu za kufuata samahanini kama heading yangu itakuwa imekaa vibaya tafadhal nisaidieni
safi sana mkuu tafuta na ya mpira basi. Japo huwa napenda kuangalia dstv kupiti vodacom lakini jamaa wana gharama sana naweza kupata bei raisi kidogo.?
safi sana mkuu tafuta na ya mpira basi. Japo huwa napenda kuangalia dstv kupiti vodacom lakini jamaa wana gharama sana naweza kupata bei raisi kidogo.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.