Nashukuru sana nimekupata Volkswagen Golf GTi ni gari nzuri?? maana nimeagiza kila mtu ananiambia itanisumbua spare sijui nn naona wananipa mawazo,Naomba maoni yako... nduu/mamaya
Mkuu mimi ninayo hii gari tena ode ya SF5.
Hizi gari madhubutu sana na kuua gearbox inelekea ni uzembe kiasi fulani.
Gari yoyote wanaoua gearbox ni malearner.
Nilikuwa na older model SG5 na ilikuwa bomba.
Generally Subaru Forester ni gari nzuri sana ila spare zake ni ghali sana, hasa ukitilia maanani kuwa ni gari zimetengenezwa kwa ajili ya sports.
mkuu hizo gari ulizinunua wap?
Starlet ndo habar ya mjini hayo mengine mbwembwe tu.
Starlet? We mgeni mjini?
Mkuu mimi ninayo hii gari tena ode ya SF5.
Hizi gari madhubutu sana na kuua gearbox inelekea ni uzembe kiasi fulani.
Gari yoyote wanaoua gearbox ni malearner.
Nilikuwa na older model SG5 na ilikuwa bomba.
Generally Subaru Forester ni gari nzuri sana ila spare zake ni ghali sana, hasa ukitilia maanani kuwa ni gari zimetengenezwa kwa ajili ya sports.
Kama una automatic gear box , cheki sana ATF(Automatic Transmission Fluid) , lakini vile vile kama ni yenye gear kila gear ina range yake ya RPM range na mtu uwe careful kubadilisha gear kama mwendo ni mkali au kupunguza kama mwendo unapungua.mkuu uzembe gani unasababisha gear box kufa?
Mkuu hiyo mashine bei yake ni balaa!!Kuna subaru ya 2007 ina saizi ya Rav 4 hivi,kwa kweli nikiiona mate yananitoka,ni vile tu pesa za mawazo,ngoja niendelee kujilia tubata na ka starlet kangu!!!
Mkuu hapo kwenye red umenirudisha miaka zaidi ya 40 iliyopitahakuna gari isiyokuwa na spare dukani sikuhizi mkuu,ukipata ushauri kwa toyota fun watakuambia hazipatikani au ni ghali, spare zipo ni kweli ghali but genuine , sio magumashi mchina. jiulize kama zamani watu walimiliki ford cortina, peugot 504, mercedes benz ml 200 , bedford na spare zilipatikana itakuwa leo hii?achana na watu wenye akili za ki ist na vits
baada ya wadau kunitisha juu ya running cost ya hi gari nmeona bora nisiiagize ila bado naipenda.....
kwa hiyo unahamia kwenye rav4 au ist yeboyebo za mujini?hivi ungekuwa unataka kuoa mwanamke mrembo ,wakikuambia ni gharama kumhudumia ungemwacha huku unampenda?
najua kaka, lakini ni kitu kimesimama ile mbayaMkuu hiyo mashine bei yake ni balaa!!
Heri hata kununua VX ya mwaka 2002.