Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Naomba kwa wenye uzoefu wa kununua magari, kununua kwa kuagiza nje/japan na kununua hapa bongo yadi ipi nafuu?
Noah road toureraina gani ya gari kwanza unayotaka kuagiza
Ukipata gari kutoka show room walio waaminifu kwa sasa bei ni nafuu kuliko kuagiza sababu TRA wako underpressure so wanasema tu kodi wanayoitaka tofauti na makisio uliyoyafanya ya awali na hakuna namna unaweza bisha....Shida ya hizi gari za show room unakuta mingi wamebadilisha zile parts Original wamekuwekea za kichina ndiyo maana nikasema ukipata wauzaji waaminifu ama unaojuana nao itakuwa rahisi kununua gari hapa...
Nimekuelewa sana, kichwa imefunguka..... AsanteUkipata gari kutoka show room walio waaminifu kwa sasa bei ni nafuu kuliko kuagiza sababu TRA wako underpressure so wanasema tu kodi wanayoitaka tofauti na makisio uliyoyafanya ya awali na hakuna namna unaweza bisha....Shida ya hizi gari za show room unakuta mingi wamebadilisha zile parts Original wamekuwekea za kichina ndiyo maana nikasema ukipata wauzaji waaminifu ama unaojuana nao itakuwa rahisi kununua gari hapa...
Sana haswa spea za Toyota wanatoa copy za kutoshaChina wanatengeneza spea fake za Japan?
Ok, sikujuaSana haswa spea za Toyota wanatoa copy za kutosha
Lakini pia zingine zinakua ziko showroom kwa muda mrefu na zinapigwa sana na juaSana haswa spea za Toyota wanatoa copy za kutosha
Upo sahihi sana mkuu..Ila kuna vitu vya msingi sana wakati unapotaka kununua gari...Na maadam gari iliyopigwa na jua sana utaiyona so itakuwa ni pendekezo lako kuichukua ma la...Lakini pia zingine zinakua ziko showroom kwa muda mrefu na zinapigwa sana na jua
Hii gari ukiinunua haitaka dumu mwezi kama haijaanza kuchoka! Tafuta jina lingine tofautiNoah road tourer
sasa mbona gari zote zinapigwa na jua siku nzima tunapaki makazini. pia usiku kukiwa na mvua pia zinneshewa tu bila kikom? tufafanulie hilo mkuu maana yanayokaa shed ni yale ya vingunge ya wengine paki chini ya mti kama upo ila kwa wingi hakuna cha kivuliLakini pia zingine zinakua ziko showroom kwa muda mrefu na zinapigwa sana na jua
Naomba ufafanue zaidi ndgHii gari ukiinunua haitaka dumu mwezi kama haijaanza kuchoka! Tafuta jina lingine tofauti
Samahani ivi nikiwa mil 4 naweza pata gari