Kuagiza bidhaa nje kupitia Posta

Kuagiza bidhaa nje kupitia Posta

Boss vip ulipataje maana mimi kuna chanamoto kwa nmb bank
Taratibu za NMB sizijui kwaķweļi ila watumiaji wa BancABC na mpesa hela inarudi kwenye Card husika.
Equity hivyo hivyo ila hadi ufuatilie ndo hela yako irudi.
 
Hizi huduma za posta naskia sio salama sana,nasikia vitu kama simu,camera n.k wanazipiga (zinapotelea posta).Je kuna ukweli hapo.
 
Nilienda wakanambiasiju issueya other transaction, niwafuate tena
Taratibu za NMB sizijui kwaķweļi ila watumiaji wa BancABC na mpesa hela inarudi kwenye Card husika.
Equity hivyo hivyo ila hadi ufuatilie ndo hela yako irudi.
 
Hizi huduma za posta naskia sio salama sana,nasikia vitu kama simu,camera n.k wanazipiga (zinapotelea posta).Je kuna ukweli hapo.
Miaka 5 iliyopita ndiyo kelele zilikuwa nyingi ila mimi tangu niingie kwenye game sijawahi kupotelewa na mzigo.
Tena mara ñyingi nilikuwa naagiza simu na vingine vya thamani vikafika salama.
Changamoto ya Upotevu mara nyingi inatokea mzigo ukiwa on transit pia missing items inatokeaga kutokana na makosa yà kibinadamu so ukijieleza vyema wanakurefund au wanaresend mzigo.
 
Ali Express nilikaaa miezi mitatu nikakata tamaa kuwa mzigo siwez pata,nikaja tumiwa sms na posta nikauchukue!!!
Kaka ulitumiwa mwez wa ngapi txt na posta? Na je posta kwa sasa wanapokea vifurusji toka aliepress?
 
Kuna yoyote amepokea bidhaa kutoka aliepress kwa mwezi wa sita au huu wa saba mwaka huu kwa njia ya posta Tanzania?

Nataka kujua maana posta walisitisha kupokea bidhaa
 
Hizi huduma za posta naskia sio salama sana,nasikia vitu kama simu,camera n.k wanazipiga (zinapotelea posta).Je kuna ukweli hapo.
Niliwahi kuagiza simu mwaka 2016 sikubahatika kuitia machoni mpaka Wa Leo. Niliambiwa tu mzigo wangu umekwama Nairobi na kwamba ukifika watanijulisha..
 
Back
Top Bottom