Kuagana kwa wapenzi

Kuagana kwa wapenzi

aljandro

Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
18
Reaction score
1
wakat wa kuagana na mpenz wk, mwanaume naye akalia, je ni sawa au ni kujshushia uaanaume?
 
mapenzi ni feelings, na kila mtu ana haki ya kufeel. So mwanaume kulia is a part of that feelings na ni haki yake kuexpress it.
 
hapana, but b4 cjafanya naulza ili njue if ts ryt or chick ataniona ndvyo cvyo
 
Ladies how do you take it, mpenz ako aktoa choz akat mnaagana?
 
Ohhh yani mpenzi wangu alie wakati tunaagana, jamani how sexy??? Yani hata ile kumuona analia tu kwa mafeeling ya mapenzi au mkiwa kwenye ..... inakuwa poa sana yani!
 
Hahahaha mambo ya emotion hayo,labda hao wapenzi walikuwa waigizaji wa bongo movies
 
Hivi hamna dawa ya kujiliza? Paw hajatinga home im masturdinnering. Nataka akiingia tu mlangoni niangue.kilio cha mwaka. Msaada wa machozi manake coca cola hazijasaidia, rehearsal imebuma.
premeditated?

This will be a big lie, kwako na kwake
 
ukisikia geti linaguswa tu
wahi vitunguu utie machoni unaangua na kilio kikuu


si umesikia kuna mmoja akisikia mwanamke analia yeee anasimama dede, na akiona mwanamke kakatwa mkono anamaliza 🙁

Hivi hamna dawa ya kujiliza? Paw hajatinga home im masturdinnering. Nataka akiingia tu mlangoni niangue.kilio cha mwaka. Msaada wa machozi manake coca cola hazijasaidia, rehearsal imebuma.
 
Back
Top Bottom