Kuachwa na mpenzi

Kuachwa na mpenzi

Kaka tatizo ni nyota(*) sasa cha muhimu minya reli (#) mambo yatakaa poa
 
dogo acha kulalamika kuhonga hutaki halafu unataka wasikukimbie,,izo ABCD mbwembwe tu, we toa hela tumia hela wape hela halafu rudi apa mwakani utaniambia.

Naunga mkono hoja..PESA, FEDHA na MAHELA ndo kilichokosekana.
 
Naunga mkono hoja..PESA, FEDHA na MAHELA ndo kilichokosekana.
Unaweza ukawa na hela lakini kama namna ya kuzitumia na mrembo hujui bado utaonekana boya na anakupiga chini vile vile baada ya kuzila na kukuona wewe sio type yake. (hii ni kwa wale wenye hela alafu wana matumizi ya kilimbukeni)
 
Yule ulie mbikiri ile damu inakudai nahuwez pata mpya.
 
kwa nn hauwaulizi wahusika sababu ya kuachana?..mnaachana ktk mazingira gani?...
 
When life gives you lemons,u just give it lemonade and try to find somebody whose life have given them vodka and have a party.
 
Back
Top Bottom