Jaman naomba ushauri,kila mwanamke/msichana nae mpenda tunaachana bila yakufikia lengo.Kuachana huko kunakua hakuna sababu maalumu.Nilitokea kumpenda msichana mmoja lakin nae akasema tuachane bila sababu,sijui ni kwanin!
Jaman naomba ushauri,kila mwanamke/msichana nae mpenda tunaachana bila yakufikia lengo.Kuachana huko kunakua hakuna sababu maalumu.Nilitokea kumpenda msichana mmoja lakin nae akasema tuachane bila sababu,sijui ni kwanin!
Ninong'oneze miamala yako yote kwa siku, mwezi na mwaka kwa hao wadada.kisha nitakushauri vizuriiiiiiiiii na hilo tatizo litakoma kabisaa
Jaman naomba ushauri,kila mwanamke/msichana nae mpenda tunaachana bila yakufikia lengo.Kuachana huko kunakua hakuna sababu maalumu.Nilitokea kumpenda msichana mmoja lakin nae akasema tuachane bila sababu,sijui ni kwanin!
Pesa, makuta, goto, njuluku, money, faranga, dinar, sente, wallet ina majina mengi
"atalina sente tafumita lindazi"