Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Wakuu za leo,
Katika utumishi kuna utaratibu wa kuacha kazi kwa kumpa mwajiri taarifa ya siku 28 au mwezi mmoja.
Swali langu je katika huo mwezi wa notice mwajiri anakulipa mshahara au unafanya kazi bila malipo?
Ahsanteni.
Katika utumishi kuna utaratibu wa kuacha kazi kwa kumpa mwajiri taarifa ya siku 28 au mwezi mmoja.
Swali langu je katika huo mwezi wa notice mwajiri anakulipa mshahara au unafanya kazi bila malipo?
Ahsanteni.