Alex jairo
Member
- Jun 13, 2013
- 17
- 3
Leo Ninawaletea Mada nzuri sana kwa wale wenye familia na hata wasio na familia ili tujifunze jinsi mataifa yenye nguvu yanavyofanikiwa kutuaribia mila na desturi ya mwafrika kupitia kifaa kinaitwa TELEVISHENI.. Televisheni ni adui ya Jamii-Na pia itakupa faida kama itatumika ipasavyo... Serekali yetu ilitenga mabilioni ya mapesa eti kwenda kwenye digitale na ukitazama hali ya miundombinu mashuleni inasikitisha.. Hakuna madawati wala Mahabala najui hili ni shinikizo kutoka mataifa makubwa na lengo lao nalijua ni kumwalibu mwafrika ktk kila nyanja-si tamaduni . Elimu na Imani
Ngoja nikupe siri ya Television- TV-ni mind control Device.. Kama ulikua hujui hili basi tambua na Amini ninayokwambia na fanyia kazi.. TV inahalibu vp Jamii? -nilitoka mkoani mwangu Msoma mjini nikiwa na miaka 12- kule mwanamke kuvaa suruali sikuona..mwanaume kutoboa masikio sikuona... Mwanaume kusuka nywele sikuona.. Kunyoa viduku sikuona.. Ushoga sikuona!!! Lakini miaka ya sasa kila kitu kimearibika sababu ya TELEVISION... Tunageza vitu vinavyofanywa kwenye TV.. TELEVISHENI inatuongoza sisi baada ya ss kiongozi.. Mataifa makubwa yanawaonga Viongozi wetu ili tu kutimiza malengo yao ya kuiharibu Afrika na tuwe mazezeta.. Unatazama show na mwanao sebuleni thn msanii wa kiume anajitangaza kua yeye ni shoga au katoto kadogo kanaangalia video music watu wamevaa mavazi ya ajabu... Na sasa kasichana kadogo kanajua mapenzi sababu ya DVD chafu na Tamthilia za mapenzi... Na sasa ukioa binti mwenye bikira unabahati!!! - - Wazungu wamefanikiwa kuvuruga kichwa cha Mwafrika--Ushauri wangu kwako kwa wewe mzazi wa baadae - Sebuleni kwako weka au mtengenezee Library mwanao na sio Luninga
Ngoja nikupe siri ya Television- TV-ni mind control Device.. Kama ulikua hujui hili basi tambua na Amini ninayokwambia na fanyia kazi.. TV inahalibu vp Jamii? -nilitoka mkoani mwangu Msoma mjini nikiwa na miaka 12- kule mwanamke kuvaa suruali sikuona..mwanaume kutoboa masikio sikuona... Mwanaume kusuka nywele sikuona.. Kunyoa viduku sikuona.. Ushoga sikuona!!! Lakini miaka ya sasa kila kitu kimearibika sababu ya TELEVISION... Tunageza vitu vinavyofanywa kwenye TV.. TELEVISHENI inatuongoza sisi baada ya ss kiongozi.. Mataifa makubwa yanawaonga Viongozi wetu ili tu kutimiza malengo yao ya kuiharibu Afrika na tuwe mazezeta.. Unatazama show na mwanao sebuleni thn msanii wa kiume anajitangaza kua yeye ni shoga au katoto kadogo kanaangalia video music watu wamevaa mavazi ya ajabu... Na sasa kasichana kadogo kanajua mapenzi sababu ya DVD chafu na Tamthilia za mapenzi... Na sasa ukioa binti mwenye bikira unabahati!!! - - Wazungu wamefanikiwa kuvuruga kichwa cha Mwafrika--Ushauri wangu kwako kwa wewe mzazi wa baadae - Sebuleni kwako weka au mtengenezee Library mwanao na sio Luninga