hjr Member Aug 11, 2020 86 71 Aug 15, 2021 #1 Wakuu msaada kwa anaeweza kunisaidia maujanja ya ya ku unlock router hii ili niweze kutumia line zote, msaada wana teknolojia tafadhali
Wakuu msaada kwa anaeweza kunisaidia maujanja ya ya ku unlock router hii ili niweze kutumia line zote, msaada wana teknolojia tafadhali
Mgumu04 JF-Expert Member Jul 15, 2011 1,934 1,043 Aug 15, 2021 #2 Uko wapi? Kuna software inaitwa dc unlocker ila mimi huwa natumia nckdongle ku unlock simu,modem router.
Uko wapi? Kuna software inaitwa dc unlocker ila mimi huwa natumia nckdongle ku unlock simu,modem router.
hjr Member Aug 11, 2020 86 71 Aug 15, 2021 Thread starter #3 Mgumu04 said: Uko wapi? Kuna software inaitwa dc unlocker ila mimi huwa natumia nckdongle ku unlock simu,modem router. Click to expand... niko morogoro mkuu
Mgumu04 said: Uko wapi? Kuna software inaitwa dc unlocker ila mimi huwa natumia nckdongle ku unlock simu,modem router. Click to expand... niko morogoro mkuu
hjr Member Aug 11, 2020 86 71 Aug 15, 2021 Thread starter #4 Mgumu04 said: Uko wapi? Kuna software inaitwa dc unlocker ila mimi huwa natumia nckdongle ku unlock simu,modem router. Click to expand... dc unlocker ni uhakika ndo nataka niijaribu hapa
Mgumu04 said: Uko wapi? Kuna software inaitwa dc unlocker ila mimi huwa natumia nckdongle ku unlock simu,modem router. Click to expand... dc unlocker ni uhakika ndo nataka niijaribu hapa
Mgumu04 JF-Expert Member Jul 15, 2011 1,934 1,043 Aug 16, 2021 #5 hjr said: dc unlocker ni uhakika ndo nataka niijaribu hapa Click to expand... Jaribu ila wakati mwingine huwa inadunda kutoka na security.
hjr said: dc unlocker ni uhakika ndo nataka niijaribu hapa Click to expand... Jaribu ila wakati mwingine huwa inadunda kutoka na security.