Stamina
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,040
- 590
Habari zenu wakuu
Wakuu, naombeni mnijuze athari ya kuroot simu, je, kuna athari yoyote ukiacha tatizo la kuharibu simu kwa kutojua kuroot simu!
(2)naomba kujua pia nini madhara ya kuwa na apps nyingi kwenye simu? Na je, ukiwa na apps nyingi simu inakuwa słów?
(3)je, naweza ku-installed apps bila kuroot simu au apps nyingine ni lazima ni ropy simu kwanza?
(4)je, ram ya simu yangu ikiwa ndogo mfano. 512mb, au 1gb ram, inaweza kuathiri utendaji wa simu kwenye kasi ya kufunguka kwa ma-file au kurun apps? Au hilo ni suala la cpu na gpu halihusiani na ram?
(5)Mwisho kuna hili suala la kuwa na ant viruses kwenye simu za Android je, ni kweli kuwa hakuna Haja sana kuwa na ant viruse kwenye Android ?
Asanteni natumai mmenisoma
Wakuu, naombeni mnijuze athari ya kuroot simu, je, kuna athari yoyote ukiacha tatizo la kuharibu simu kwa kutojua kuroot simu!
(2)naomba kujua pia nini madhara ya kuwa na apps nyingi kwenye simu? Na je, ukiwa na apps nyingi simu inakuwa słów?
(3)je, naweza ku-installed apps bila kuroot simu au apps nyingine ni lazima ni ropy simu kwanza?
(4)je, ram ya simu yangu ikiwa ndogo mfano. 512mb, au 1gb ram, inaweza kuathiri utendaji wa simu kwenye kasi ya kufunguka kwa ma-file au kurun apps? Au hilo ni suala la cpu na gpu halihusiani na ram?
(5)Mwisho kuna hili suala la kuwa na ant viruses kwenye simu za Android je, ni kweli kuwa hakuna Haja sana kuwa na ant viruse kwenye Android ?
Asanteni natumai mmenisoma