captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 636
habarini wadau..
Wiki mbili zimepita niliomba msaada wa ushauri ninunuie simu gani kati ya GalaxyNote4 na iphone 6 plus...
Wengi mkaniambia iphone6 plus,alafu Chief-Mkwawa akanambia kama nataka simu ambayo badae nitaiuza nichukue 6plus coz haishuki thamani,hvo mwisho wa siku nikachukua 6plus..
Nimeipenda muonekano wake na smoothness yake,tatzo ni limitation za ajabu ajabu ambazo haizna maana..
Hivyo nimeomba nielezwe namna ya kui jail break bila kusababisha matatizo ili niondoe hizi limits za kishamba...
Natanguliza shukrani..
Note::Wapenzi wa Android msijaribu kununua apple devices mtajuta..
Wiki mbili zimepita niliomba msaada wa ushauri ninunuie simu gani kati ya GalaxyNote4 na iphone 6 plus...
Wengi mkaniambia iphone6 plus,alafu Chief-Mkwawa akanambia kama nataka simu ambayo badae nitaiuza nichukue 6plus coz haishuki thamani,hvo mwisho wa siku nikachukua 6plus..
Nimeipenda muonekano wake na smoothness yake,tatzo ni limitation za ajabu ajabu ambazo haizna maana..
Hivyo nimeomba nielezwe namna ya kui jail break bila kusababisha matatizo ili niondoe hizi limits za kishamba...
Natanguliza shukrani..
Note::Wapenzi wa Android msijaribu kununua apple devices mtajuta..
Last edited by a moderator: