Ku band vsat satellite equipment

Ku band vsat satellite equipment

alphoncetz

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
280
Reaction score
50
Nina equipments mbili nilizokua nazitumia ku connect internet kupitia kampuni ya iway africa (Afsat communications)

Kwa sasa nimesitisha huduma na hivyo nauza hizo equipments kwa mtu au taasisi wanaohitaji satellite internet connection

Equipment hazina deni kwa ISP na kuhusu installation, mimi ni authorized installer wa Afsat kwa hiyo naweza kufanya kazi yote.

My price is $1000 for each equipment

Full equip inahusisha modem, dish, cable, LNB and BUC

Call me on 0767659145, 0787659145 email: alphonce@alphonce.net
 
mkuu sasa ni mwendo wa fibre hilo peleka kongo drc au utapiga nalo picha

Kama jambo hulijui au halikuhusu acha wenye kujua waendelee. hata marekani zinakoanzia hizo fiber unazota tujue kuwa unazijua nako bado kuna VSAT ISP na kampuni mpya zinafunguliwa ila kukicha
 
Kama jambo hulijui au halikuhusu acha wenye kujua waendelee. hata marekani zinakoanzia hizo fiber unazota tujue kuwa unazijua nako bado kuna VSAT ISP na kampuni mpya zinafunguliwa ila kukicha
Mchukulie poa tena kiroho safi kabisa
 
Back
Top Bottom