Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 851
- 1,406
Duuh! Mimeingia uzi wa wataalam!!
Mkuu sio kweli,kuna dada mmoja alikua Deloite nimesoma nae kichwani alikua mwepesi sana na amekaa hapo hadi kapata kazi Barclay's Bank na kuna msela pia hana cha one wala two kapiga sana mzigo pale and now anafanya business zake tu
Huu ni uzi mwingine tena nakukuta, sasa nimekuelewa, kwa akili hizi hata hiyo kazi hupati, unafikiri watu wana Base kwenye makaratasi pekee......Noo.. This is fuccking crazy bana...
Engineer napiga mzigo popote pale, isipokua kwenye Afya tuu...
Sasa kwanini hawajaniita...
Halafu GPA yangu kali sana!!
Zilishapita mkuu PWC ndo mwanzoni mwa Mwaka vigezo vyao ni Vinne tuu.
1. Form Four Division I na A au B za Mathematics na English.
2. Form Six Division I
3. University Upper Second Class ya 4.0 GPA na Ku endelea
4. Uwe Mwanafunzi ambaye unafanya final stage au umemaliza CPA.
Hawa hawawachukuagi waliounga Cheti na Diploma
Pia huwa kuna Exceptional things Kama Mtu Ukiongoza Mitihani ya CPA Over all wanaweza kukuchukua
Ila fahamu
KPMG
PWC
Deloite&Touch
Enerst na Young
Is not place for Losers Kila laheri mdogo wangu.
Not true..Zilishapita mkuu PWC ndo mwanzoni mwa Mwaka vigezo vyao ni Vinne tuu.
1. Form Four Division I na A au B za Mathematics na English.
2. Form Six Division I
3. University Upper Second Class ya 4.0 GPA na Ku endelea
4. Uwe Mwanafunzi ambaye unafanya final stage au umemaliza CPA.
Hawa hawawachukuagi waliounga Cheti na Diploma
Pia huwa kuna Exceptional things Kama Mtu Ukiongoza Mitihani ya CPA Over all wanaweza kukuchukua
Ila fahamu
KPMG
PWC
Deloite&Touch
Enerst na Young
Is not place for Losers Kila laheri mdogo wangu.