Kozi ya udereva

Kozi ya udereva

Jfrank

Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
22
Reaction score
9
Wadau ningependa kuuliza,

Kwa mtu ambae hajawahi kusoma kozi yoyote ya udereva, na kwasasa anataka akaisome ila apate leseni class C, kuna uwezekano wa kwenda Veta na kusomea udereva class C na ukapata leseni ya class C mara baada ya kuhitimu mafunzo?
 
Ni mchakato ni kama kufika darasa la saba wakati hata shule huja anza.
 
Lazima uende shule maana hiyo leseni dalaja c lazima uambatanishe na cheti Cha mafunzo kutoka veta au NIT ili upate
 
Unatak leseni ya udereva au unataka kusoma udereva..

Leseni inapatikana bila kusoma kozi ya udereva.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom