Kozi ya Staff Cadet jeshini, nini huzingatiwa?

Kozi ya Staff Cadet jeshini, nini huzingatiwa?

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Just for learning:
...Nikiwa form 6 tulikuwa tunafarijiana, "ukiwa na form 6 unafikia nyota jeshini na ukimaliza chuo kikuu ndo unazikomesha, hata nyota 4"

Japo mie ni nazi iliyoivia mnazini na sasa imechumwa na mama ntilie anaikodolea macho, bado napenda kutembelea majikoni kabla ya kuvunjwa na kukunwa!

Je, ni vigezo gani hutumiwa kuchagua kijana kusoma kozi ya staff cadet?
Kwa uelewa wangu, kijana amalizapo mafunzo ya JKT huingia mafunzo ya JWTZ. Huko hujifunza mbinu zaidi za kimapigano na kukabiliana na adui. Baada ya mafunzo hayo vijana wazalendo huingia ktk utumishi kama infantry, navy au anga. Sasa naomba kujifunza, je ni vigezo gani vijana hawa hupaa ktk kozi nyingine? Je, ni vigezo gani huzingatiwa kuchaguliwa kwa mafunzo ya Ukomandoo? Je, kuna wanawake ambao hupata kuwa makomandoo?

Tupanuane uelewa ili kuepuka kukariri kuwa vyeo jeshini vinagawiwa kama njungu au karanga kwenye vikao vyetu vya kahawa!
Just for learning!
Karibuni.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nenda makao makuu ya jeshi watakupa jibu sahihi

Asante kwa ushauri mzuri. Kumbuka si kila mtu anaruhusiwa kuingia chumba cha baba na mama ila uwapo darasani kila mwanafunzi ana uhuru wa kumuuliza mwalimu nini baba na mama wanafanya chumbani kwao!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Vigezo vikuu ni uwe na elimu ya form 6 au equivalent na kuendlea.Uwe raia wa Tanzania na mwenye afya njema
 
tisa mbili hakuna komandoo mwanamke. we nenda RTS ukimaliza subiria kuitwa kwenye usaili wa cadet usipobahatika kuitwa kwenye usaili wa cadet ujue utabakia kua private soldier
 
Just for learning:
...Nikiwa form 6 tulikuwa tunafarijiana, "ukiwa na form 6 unafikia nyota jeshini na ukimaliza chuo kikuu ndo unazikomesha, hata nyota 4"

Japo mie ni nazi iliyoivia mnazini na sasa imechumwa na mama ntilie anaikodolea macho, bado napenda kutembelea majikoni kabla ya kuvunjwa na kukunwa!

Je, ni vigezo gani hutumiwa kuchagua kijana kusoma kozi ya staff cadet?
Kwa uelewa wangu, kijana amalizapo mafunzo ya JKT huingia mafunzo ya JWTZ. Huko hujifunza mbinu zaidi za kimapigano na kukabiliana na adui. Baada ya mafunzo hayo vijana wazalendo huingia ktk utumishi kama infantry, navy au anga. Sasa naomba kujifunza, je ni vigezo gani vijana hawa hupaa ktk kozi nyingine? Je, ni vigezo gani huzingatiwa kuchaguliwa kwa mafunzo ya Ukomandoo? Je, kuna wanawake ambao hupata kuwa makomandoo?

Tupanuane uelewa ili kuepuka kukariri kuwa vyeo jeshini vinagawiwa kama njungu au karanga kwenye vikao vyetu vya kahawa!
Just for learning!
Karibuni.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Huwa wana apply kwenda kwenye kozi ya cadeti, ukifanikiwa usail ndo unaenda kupiga kozi. Ila elimu pia wanaiangalia
 
tisa mbili hakuna komandoo mwanamke. we nenda RTS ukimaliza subiria kuitwa kwenye usaili wa cadet usipobahatika kuitwa kwenye usaili wa cadet ujue utabakia kua private soldier

na ukimuona komandoo wakike ujue ana maumbile yakiume
 
Unapokosoa rekebisha sio unaacha ina hand.
Mleta mada kozi inaitwa Officer Cadet sio Staff Cadet inafanyika TMA.

Point of correction....siyo TMA (Tanzania Military Academy) bali hutolewa CSC (Command and Staff College) zamani wakiita kwa kiswahili CTU - Chuo cha Taifa cha Uongozi (wa kijeshi)

Though CSC na TMA zote zipo pamoja Monduli
 
Point of correction....siyo TMA (Tanzania Military Academy) bali hutolewa CSC (Command and Staff College) zamani wakiita kwa kiswahili CTU - Chuo cha Taifa cha Uongozi (wa kijeshi)

Though CSC na TMA zote zipo pamoja Monduli

Ok!ngoja nikukosoe then nikurekebishe!!1. Hakuna kozi inaitwa officer cadet. Sahihisho:kozi inaitwa "Cadet Course" anayeisoma kozi hiyo anaitwa Officer Cadet yaani Ofisa mwanafunzi! 2. Kozi ya Cadet inatolewa TMA tu kwa TZ na sio CSC. TMA zamani ndo ilikuwa ikijulikana kama CTU kabla ya kubailishwa jina!
 
sio staff cadet ni officer cadet...
Just for learning:
...Nikiwa form 6 tulikuwa tunafarijiana, "ukiwa na form 6 unafikia nyota jeshini na ukimaliza chuo kikuu ndo unazikomesha, hata nyota 4"

Japo mie ni nazi iliyoivia mnazini na sasa imechumwa na mama ntilie anaikodolea macho, bado napenda kutembelea majikoni kabla ya kuvunjwa na kukunwa!

Je, ni vigezo gani hutumiwa kuchagua kijana kusoma kozi ya staff cadet?
Kwa uelewa wangu, kijana amalizapo mafunzo ya JKT huingia mafunzo ya JWTZ. Huko hujifunza mbinu zaidi za kimapigano na kukabiliana na adui. Baada ya mafunzo hayo vijana wazalendo huingia ktk utumishi kama infantry, navy au anga. Sasa naomba kujifunza, je ni vigezo gani vijana hawa hupaa ktk kozi nyingine? Je, ni vigezo gani huzingatiwa kuchaguliwa kwa mafunzo ya Ukomandoo? Je, kuna wanawake ambao hupata kuwa makomandoo?

Tupanuane uelewa ili kuepuka kukariri kuwa vyeo jeshini vinagawiwa kama njungu au karanga kwenye vikao vyetu vya kahawa!
Just for learning!
Karibuni.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Thanks for correction wadau. Naendelea kujifunza!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kila wilaya Ina MTU anaitwa mshauri wa mambo na kila mkoa unamtu mshauri wa mgambo. Huku ndugu yangu utapotoshwa Sana hata asiyejua atakushauri. Ukitaka taarifa sahihi nenda wilayani uliIa huyo MTU na umuulize maswali yako tote uaipo ridhika nenda mkoani ama kwenye kambi ya jeahi iliyo karibu na wewe. Utapata elimu sahihi ambayo hata ukiulizwa kakwambia nani unaye wa kumpoint sio jamiiforums. Jiridhishe kwa source.. Ama atakaye kushauri hapa akwambie yeye ni nani katika chombo husika ama aweke source ya kuaminika. Hiyo itakuwa elimu sahihi
 
Back
Top Bottom