Kozi ya Human Nutrion SUA

Kozi ya Human Nutrion SUA

luqman luqman

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
850
Reaction score
1,403
Habhari zenyu wakuu! Nmechaguliwa kozi tajwa hapo juu, so naomba wenye ufaham na hiyo course uzuri wake ubaya wake na challanges zake pia na lolote lile muhimu kuhusu hiyo kozi naomba anijuze. Wassalaam!!
 
Habhari zenyu wakuu! Nmechaguliwa kozi tajwa hapo juu, so naomba wenye ufaham na hiyo course uzuri wake ubaya wake na challanges zake pia na lolote lile muhimu kuhusu hiyo kozi naomba anijuze. Wassalaam!!
hilo swali ungeuliza kabla hauja chaguliwa, vingine hapa sahiz unatafuta stress tu, maadamu umechagliwa tayali wew kasome 2. uzur na ubaya utaujua uko uko.
KILA LA KHERI.
 
Iko Poa tu mkuu... Karibu sua... Then ukishafika utajua iko Vipi.. Kama usipopenda... Unaweza kubadilisha... Zipo degree programs kibao nzuri zaidi ya 30 so usihofu... U can Change....

Karibu SUA mkuu me nasoma BSc Agronomy.. Hivyo siwezi kukupa details zaidi labda unicheki inbobo nikupe numbe Za Wadau wanaopiga cozy hiyo
 
Iko Poa tu mkuu... Karibu sua... Then ukishafika utajua iko Vipi.. Kama usipopenda... Unaweza kubadilisha... Zipo degree programs kibao nzuri zaidi ya 30 so usihofu... U can Change....

Karibu SUA mkuu me nasoma BSc Agronomy.. Hivyo siwezi kukupa details zaidi labda unicheki inbobo nikupe numbe Za Wadau wanaopiga cozy hiyo
Shukran sana mkuu
 
hilo swali ungeuliza kabla hauja chaguliwa, vingine hapa sahiz unatafuta stress tu, maadamu umechagliwa tayali wew kasome 2. uzur na ubaya utaujua uko uko.
KILA LA KHERI.
Lengo ni ku compare na kozi nyngne ktk vyuo vngne wala c vinginevyo
 
Back
Top Bottom