Xhizo de incredible
Senior Member
- Nov 14, 2018
- 112
- 176
Msaada kwa mwenye uelewa wa hiyo kozi ikoje ajira zake kwa ujumla
Haina inshu hiyo koziNi kupoteza muda tuu
Umesoma combi gani??Haina inshu hiyo kozi
PCBUmesoma combi gani??
Hii ni kozi mpya itaanza kutolewa University of Dar es salaam nadhani itakuwa campus ya Mbeya ( sina hakika kwenye hili la campus)Msaada kwa mwenye uelewa wa hiyo kozi ikoje ajira zake kwa ujumla