Kozi ninazoweza kusomea kwa CBG

Kozi ninazoweza kusomea kwa CBG

Akafanye bachelor ya nursing.atakuwa mkunga.ajira mpaka kufa.kama yete ni me pia atakuwa na fursa ya kuziona tupu za wanawake bila usumbufu
Aisee kwa sasa nursing hasomi kabisaa,, labda kozi zingine
 
Habari wakuu,nina mdogo wangu anahitimu form six mwaka huu kwa combination ya CBG,tunaimani kuwa atafaulu,ni kozi gani anazoweza kusoma kwa ngazi ya chuo kwa masomo yake hayo? Ahsanteni
Huu ndio ushauri wangu...

Kwanza muulize anapendelea nini??

Kozi nzuri kwa mtu wa cbg ni

1. Veterinary medicine ya SUA (kama kichwa chake hakina misuli au kama ni sista du/bishoo hapa asiguse)

2. Kozi ya viungo bandia (nimeisahau jina, ila ipo KCMC) hii nayo ni the best!

3. Land valuation ipo ardhi

4. nursing (kama ni msichana)

5...

Ila kwanza mkazanie afaulu walau apate div one au two... Otherwise ataisoma namba kwenye serikali ya viwanda!!
 
Huu ndio ushauri wangu...

Kwanza muulize anapendelea nini??

Kozi nzuri kwa mtu wa cbg ni

1. Veterinary medicine ya SUA (kama kichwa chake hakina misuli au kama ni sista du/bishoo hapa asiguse)

2. Kozi ya viungo bandia (nimeisahau jina, ila ipo KCMC) hii nayo ni the best!

3. Land valuation ipo ardhi

4. nursing (kama ni msichana)

5...

Ila kwanza mkazanie afaulu walau apate div one au two... Otherwise ataisoma namba kwenye serikali ya viwanda!!
Asante sana ndg,nimekuelewa vizuri
 
Back
Top Bottom