donald james
Member
- Jan 6, 2014
- 43
- 7
I think civil works /pays for developing country like Tanzania
Personally nilichaguliwa kipindi hicho.both architecture and civil but I went somewhr else for computer science t was my choice but if you give a choice again I wud go for civin & structure engineering
thanx but,du you min archtecture hailipi?
umesoma kombi gani na matokeo yako
Am not saying that
Mkuu vyote ni bora ila angalia ni course gani utaiweza, usiende tu kwa kuangalia huyu au yule kasema nini bali angalia uwezo wako wewe na mapenzi yako, ukiangalia kulipa course zote hizo zinalipa.
habar jaman,mi ni muhtmu wa kidato cha 6 2014,bado naendelea kutafuta ushaur wa ktu cha kusoma chuo kikuu,sasa nina koz mbili ambazo kwa upande wangu nashindwa kuzpima uzito kat ya archtecture na civil naomba msaada wenu bla kujal unasoma kozi gan il nifanye maamuz sahihi
nashukuru mkuu
habar jaman,mi ni muhtmu wa kidato cha 6 2014,bado naendelea kutafuta ushaur wa ktu cha kusoma chuo kikuu,sasa nina koz mbili ambazo kwa upande wangu nashindwa kuzpima uzito kat ya archtecture na civil naomba msaada wenu bla kujal unasoma kozi gan il nifanye maamuz sahihi
Civil Engineer, ni moja ya course ambayo ipo wide in application than Archtecture . A well and competent civil engineer. Anaweza fanya kazi katika Building construction, Highway and Transportation Engineering , Water and Hydraulic transportation and any other Construction activities taking place in our country. Contrary to Archtecture who mainly has to deal with Building drawing... ( Unaweza ni pm kwa maelezo zaidi)
Hizo zote ni nzuri kk,ila pia uzuri wake utategemeana na kichwa chako.Pia inabidi ujue unapenda nn zaidi bcz hakuna ki2 kizuri kama kufanya kitu unachopenda.
Jaribu kuiangalia pia Electrical Engineering pia nayo inalipa vizuri.
Pm ni private message ... Ntakutumia meseji utana pm inavyokuwa
Civil engineering ni bora zaidi ukizingatia kuwa ina branches tatu. So utakuwa na uwanja mpana wa kiutendaji. Lakini architecture inabase sana kwenye design za buildings tu kitu ambacho hata civil engineer anakiweza kwa kiasi fulani. Nashauri uchague Civil but jiandae kukomaa sana.