KOZI HEWA

KOZI HEWA

lwebugisa

Member
Joined
Dec 26, 2010
Posts
10
Reaction score
2
Naombeni kujua utaratibu na hatua za kuchukua pale chuo kinapodaili kozi ambazo hazipo au hazijasajiliwa katika chuo hicho. Mf: umedailiwa kozi fulani katika chuo fulani alafu inafika mwisho wa masomo jina lako halirudi katika wale watakaofanya final exams na wakati una sifa ila chuo hakijasajiliwa na hiyo coz japo ipo au ilikuwepo ila imefutwa. Naombeni mwongozo.
 
Mmmh pole uhazili tabora ndo kazi yao wanatoa accounts na wakati nacte haijawasajili na hadi sa hv wanaendelea kuna mtu katoa had ada ameamua tu kusepa ngoja nacte wawatumbue ndo watajua hata local gvnt haipo
 
Back
Top Bottom