Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Wewe ukifaa ule kitengo jeshini

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Me ningekuwa wewe ningeanza kutengeneza mabomu ya nyuklia. Halafu nawaambia serikali msipo nilipa pesa ninayotaka naanzisha alishababu ya Tanzania na haya mabomu nitawalipua nayo.
 
Wapo zenji huku wanipiga hela chafu mkuu. Maisha hayana formula. I know a girl who was working as a house keeper in a hotel and then got in a relationship na mzungu, kaolewa official marriage sasa hivi ni boss wa hotel hiyo wacha kabisa
Yeah hao viumbe wanakula maisha zenji wengine hata vyeti vya form 4 hawana ila wana vikazi vyao maisha so fair kabisa yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…