Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Wewe ukifaa ule kitengo jeshiniNimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.
Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.
Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
GPA Hiyo nzuri sana ungeweza hata kuwa Lecturer
Me ningekuwa wewe ningeanza kutengeneza mabomu ya nyuklia. Halafu nawaambia serikali msipo nilipa pesa ninayotaka naanzisha alishababu ya Tanzania na haya mabomu nitawalipua nayo.Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.
Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.
Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
True na ndizo zinalipa bili huku mtaaniMadogo saivi wakiniomba ushauri nawaambia watafute skill ( ushonaji, baking, design, decorating etc) ila maswala ya vyeti simshauri mtoto wa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kunipa abc za hivi vyombo, chuo kinachotoa mafunzo, muda pamoja na gharama japo kwa ufupiPindi mnaangaika na kozi za mdaa mrufu wahun tumepiga hii machine now tunakur maisha bira stressView attachment 1600433
Botanical scienceTaja kozi uliyosoma mm nitakupa proffesional short courses zake
Ndo wale wanauza madawa pharmacy?Pharmacy.
Kozi la kipimbi na kimaskini sana i wouldnt recommend.
Hapana. WafamasiaNdo wale wanauza madawa pharmacy?
Kwa level gani? Maana naona watu kibao wanaipa promo.Pharmacy.
Kozi la kipimbi na kimaskini sana i wouldnt recommend.
Mtu mwenye M.D anazidiwa na mtu mwenye diploma aliyeajiriwa TRA ,EWURA,LATRA,
Mh mzee mbona pharmacy watu wanaipa promo sana. Ishu za kukodisha lisence kwenye maduka ya dawa naskia inawaingizia hadi 1M kwa mwezi. Au uongo?Pharmacy.
Kozi la kipimbi na kimaskini sana i wouldnt recommend.
Yeah hao viumbe wanakula maisha zenji wengine hata vyeti vya form 4 hawana ila wana vikazi vyao maisha so fair kabisa yaani.Wapo zenji huku wanipiga hela chafu mkuu. Maisha hayana formula. I know a girl who was working as a house keeper in a hotel and then got in a relationship na mzungu, kaolewa official marriage sasa hivi ni boss wa hotel hiyo wacha kabisa
Umekwamaa wapi mzeePharmacy.
Kozi la kipimbi na kimaskini sana i wouldnt recommend.
Labdaa Unasema Dispenser kijanaa...Ila sio Mfamasia utachekwaa siku nyinginee...Hapana. Wafamasia