Kova: Kama haujiamini, kesho usisogee mjini

Kova: Kama haujiamini, kesho usisogee mjini

Du! Typical Njagu with typical mikwara .. lakini nimipenda sana. key words ...
1. CHUMA CHAKAVU 2. KUNUNA 3. WATU KUTEMBEA SIO GARI KUTEMBEA..

Ubarikiwe Kamanda.

Poa mkuu,,tulikuwa tunapehana taharifa maana Kova ana mzuka balaa.
 
Kova ameyasema ayo Tbc muda mfupi uliopota akizungumzia ujio wa mnyamwezi Obama..

pia ametoa tahadhari kama utapaki gari lako pembeni ya barabara litachukuliwa kama chuma chakavu na usimlaumu mtu kwa hilo kwani kesho Posta magari hayatatembea watu watatembea kwa miguu tu.." ata ukinuna utaonekana na utaonekana mpaka Marekani kwani kuna mitambo maalumu " alisikika Kova ambaye alivaa full gwanda kuonyesha msisitizo..

Kwaio hii ni tahadhari kwa ndugu zangu msije mpa shavu Kova kuonekana CNN kwani anaonyesha kapania sana..

matumbo nipo posta since saa 12 nimekuja na daladala na nayaona yapo hapa,huduma zipo kama kawaida
 
Last edited by a moderator:
Kova ameyasema ayo Tbc muda mfupi uliopota akizungumzia ujio wa mnyamwezi Obama..

pia ametoa tahadhari kama utapaki gari lako pembeni ya barabara litachukuliwa kama chuma chakavu na usimlaumu mtu kwa hilo kwani kesho Posta magari hayatatembea watu watatembea kwa miguu tu.." ata ukinuna utaonekana na utaonekana mpaka Marekani kwani kuna mitambo maalumu " alisikika Kova ambaye alivaa full gwanda kuonyesha msisitizo..

Kwaio hii ni tahadhari kwa ndugu zangu msije mpa shavu Kova kuonekana CNN kwani anaonyesha kapania sana..

matumbo nipo posta since saa 12 nimekuja na daladala na nayaona yapo hapa,huduma zipo kama kawaida
 
Last edited by a moderator:
Kova ameyasema ayo Tbc muda mfupi uliopota akizungumzia ujio wa mnyamwezi Obama..

pia ametoa tahadhari kama utapaki gari lako pembeni ya barabara litachukuliwa kama chuma chakavu na usimlaumu mtu kwa hilo kwani kesho Posta magari hayatatembea watu watatembea kwa miguu tu.." ata ukinuna utaonekana na utaonekana mpaka Marekani kwani kuna mitambo maalumu " alisikika Kova ambaye alivaa full gwanda kuonyesha msisitizo..

Kwaio hii ni tahadhari kwa ndugu zangu msije mpa shavu Kova kuonekana CNN kwani anaonyesha kapania sana..
kova yeye nani bhana???
 
hapa karibu na standard chartered wameambiwa waondoe magari yao, chezea kova m 23
 
hivi huyo 'Suleiman Kova wa Washington DC' huwa naye nafanyaga makeke hayo JK akienda huko!!???
 
yeye na mkuu wake wa mkoa ndio wamechujwa wasionane na Obama

Ndio maana wana hasira mpaka wameongezea mpaka tahadhari zisizokuwapo,nchi ni yetu au ya wageni?.
 
hivi huyo 'Suleiman Kova wa Washington DC' huwa naye nafanyaga makeke hayo JK akienda huko!!???


Thubutu yako!!!!!!yaani fast jet atetemekewe na Wamarekani?
 
Athari za kuongozwa na majinga haya ndo madhara! Eti barabara inafungwa masaa 6!!!! tukome kuweka madarakani watu wasio jiamini. Mboa alikuja Clinton, Bush, shughuli ziliendelea kama kawaida? Nimesikitika sana hata hawajaficha sura zao eti ni viongozi!
 
Back
Top Bottom