matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,958
Kova ameyasema ayo Tbc muda mfupi uliopota akizungumzia ujio wa mnyamwezi Obama..
pia ametoa tahadhari kama utapaki gari lako pembeni ya barabara litachukuliwa kama chuma chakavu na usimlaumu mtu kwa hilo kwani kesho Posta magari hayatatembea watu watatembea kwa miguu tu.." ata ukinuna utaonekana na utaonekana mpaka Marekani kwani kuna mitambo maalumu " alisikika Kova ambaye alivaa full gwanda kuonyesha msisitizo..
Kwaio hii ni tahadhari kwa ndugu zangu msije mpa shavu Kova kuonekana CNN kwani anaonyesha kapania sana..
pia ametoa tahadhari kama utapaki gari lako pembeni ya barabara litachukuliwa kama chuma chakavu na usimlaumu mtu kwa hilo kwani kesho Posta magari hayatatembea watu watatembea kwa miguu tu.." ata ukinuna utaonekana na utaonekana mpaka Marekani kwani kuna mitambo maalumu " alisikika Kova ambaye alivaa full gwanda kuonyesha msisitizo..
Kwaio hii ni tahadhari kwa ndugu zangu msije mpa shavu Kova kuonekana CNN kwani anaonyesha kapania sana..