Kitakachofanyika mwaka huu kitaonekana kama miujiza lakini kumbe ni hesabu ndogo sanaa. Ccm kura zao mpka sasa zinaonekana. Ccm mpka sasa ushindi wao unaonekana kwann. Kwnza tujue hili kumekuwepo na uhamasishaji mkubwa wanaUKAWA kutohudhuria mikutano ya ccm. Hii inamaana kuwa ktk mikutano ya chadema wanaohudhuria ni pamoja na wanaccm kwsbabu chama chao hakikuwazuia kuhudhuria. Pia wapo washangaaji wanaokwenda kumshangaa huyu waziri mkuu mstaafu aliyehama chama wanakwenda kumshangaa huyu mtu aliyemwaga Dr Slaa n.k. ikumbukwe hapo hata wanaccm ambao watapigia kura ccm wanakuwepo, labda ndio sababu inaonekana wana watu wengi. Lakin mikutano ya ccm ni wanaccm wenyewe wachache sana ni ukawa na pale ndipo tunapopata wazalendo wa chama na ambao ndo wanakura halali. So ukawa msijidanganye na wingi wa watu kuwa ndo ushindi. Bado hamjajipanga. Kubalini matokeo tar 25